RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON
![](http://1.bp.blogspot.com/-gv_Q-bjJxek/U97k-5zuVNI/AAAAAAAF8xc/kVi_uILid6Q/s1600/dm1.jpg)
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Aug
Rais Kikwete, Mgeni Rasmi katika Mkutano wa Diaspora jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika mkutano wa Watanzania wanaoishi ughaibuni (Diaspora) ambao umepangwa kufanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam tarehe 14 na 15 Agosti 2014. Mkutano huo ambao umeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Taasisi ya Diaspora Tanzania (Tanzania Diaspora Initiative-TDI), unalenga kuwahamasisha Watanazania wanaoishi ughaibuni wenye utaalamu na...
11 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA WANAWAKE WATANZANIA WAJASIRIAMALI WA DMV JIJINI WASHINGTON
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea shada la maua kutoka kwa Ndugu Juster Mutakyawa mara baada ya kuwasili kwenye ofisi ya ubalozi wa Tanzania nchini Marekani iliyoko Washington  Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akipokewa na Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wajasiriamali cha Watanzania wanaoishi Washington kiitwacho TANO Ladies Ndugu Asha Hariz wakati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIuxMSNTCgkKqzsTFBmqHJbvqx3O5SC-Y8SsNi7Ar*0e5kqz7zhfP1-ZMp5nuErPDjE36g7K3dJ6kGlOrnt*do*/le2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA DUNIA WA UCHUMI JIJINI ABUJA, NIGERIA
President Dr, Jakaya Mrisho Kikwete attends a High Level Meeting on the African Strategic Infrastructure Initiative in Abuja, Nigeria, on May 8, 2014. To his right are host President Goodluck Jonathan and H.E. Macky Sall, the President of Senegal.
President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete makes his contribution during the closing Plenary session of the Grow Africa Investment Forum at the World Economic Forum on Africa in...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-eeVv-iNM9kE/U-GMMTD6BdI/AAAAAAAAHQY/rZSqNYo77qs/s1600/dm68.jpg?width=650)
KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU KATI YA RAIS KIKWETE NA WATANZANIA, WASHINGTON DC
Mhe. Rais Dk Jakaya Kikwete akijibu maswali ya waTanzania Usiku wa Agosti 2, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Jakaya Mrisho Kikwete alikutana na watanzania katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC Baada ya hotuba yake, Mhe. Rais aliruhusu maswali kutoka kwa watanzania hao Na haya, ndiyo yaliyoulizwa kwake.
Karibu…
10 years ago
VijimamboMadaktari kutoka Washington Diaspora Walioletwa na Jumuiya ya Watanzania DMV Watoa Hudua ya Afya Hospitali ya Mnazi Mmoja
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak O bama. Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani  ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC.… ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s72-c/w1.jpg)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--99HsdIinyU/U-JSpsBc8zI/AAAAAAACm6c/WRZHxk6HhCQ/s1600/w2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzOJdcH2t3Q/U-JSzBmSTzI/AAAAAAACm64/qIQOvCLbufI/s1600/w4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YPY62IRGZGM/U-JSwO_f7GI/AAAAAAACm6w/Zq2FHZgvBbQ/s1600/w5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jUW7OXuce9k/U-JS1Ohnr9I/AAAAAAACm7A/KnShrBQRpyA/s1600/w6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yt_HkC4aQYU/U-y75hY_HpI/AAAAAAAF_oQ/vz1fhAn_MR8/s72-c/d78.jpg)
RAIS JK AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA DIASPORA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, WANA-DIASPORA KIBAO WAHUDHURIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yt_HkC4aQYU/U-y75hY_HpI/AAAAAAAF_oQ/vz1fhAn_MR8/s1600/d78.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-22MDDhU8uBE/U-zGdLc612I/AAAAAAAF_pU/--gsaI5KnP4/s1600/IMG_8452.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-00qMrWRF7S0/U-y8HzpYPvI/AAAAAAAF_oY/op3fBtSV7Wk/s1600/d39.jpg)
11 years ago
GPL23 Apr
RAIS KIKWETE AZUNGUMZIA SEKTA YA ELIMU ALIPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UK
Rais Dk. Jakaya Kikwete akizungumzia mipango na maendeleo katika sekta ya elimu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania