RAIS JAKAYA KIKWETE AHUTUBIA WILSON CENTER WASHINGTON, DC
Video ya hotuba ya Rais Jakaya Kikwete alipohutubia Wilson CenterAndrew Selee Makamu wa Rais Wilson Center akimwelezea Rais Jakaya Kikwete kabla hajamkaribisha kuhutubia wadau kutoka nchi mbalimbali waliojitokeza kwa wingi siku ya Ijumaa April 3, 2015 Wilson Center iliyopo Washington, DC.
Rais Jakaya Kikwete akihutubia Wilson Center mchana wa siku ya Ijumaa April 3, 2015 jijini Washington, DC.
Wadau kutoka nchini mbalimbali wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete alipokua ahihutubia Wilson...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Uk_o5-6cxsQ/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo01 Apr
WATANZANIA WASHINGTON SEATTLE KUMPOKEA RAIS JAKAYA KIKWETE LEO JUMATANO
![](http://api.ning.com/files/H4Y4Bjf0eWAbXC7qQkRbePDlZHhY01ONh3qyTwSYApVZxHyy9wb9rWQD07rsajBczv8SEWPNgLgVGnjYcbXOPnNjoPI*eQSm/p35.jpg)
Mheshimiwa Rais na ujumbe wake watawasili Seattle: Jumatano Tarehe 1/4/2015, Usiku.Tunaombwa tufike tumpokee Mhe. Rais Jakaya Kikwete na kusalimiana nae
Jumuiya ya Tanzaseattle inawaomba kufika kwa wakati kama ilivyoainishwa:
Pahala:
FOUR SEASONS HOTEL SEATTLE99 Union StreetSeattle, Wa 98101
Siku na Saa:
Jumatano 1/4/2015,Saa Tatu Usiku- Wednesday April 1st, 2015 at 9pm.
Kwa niaba ya Uongozi wa Tanzaseattle.Ahsanteni kwa kufika kwa...
10 years ago
Vijimambo31 Mar
WATANZANIA WASHINGTON SEATTLE KUMPOKEA RAIS JAKAYA KIKWETE KESHO JUMATANO
![](http://api.ning.com/files/H4Y4Bjf0eWAbXC7qQkRbePDlZHhY01ONh3qyTwSYApVZxHyy9wb9rWQD07rsajBczv8SEWPNgLgVGnjYcbXOPnNjoPI*eQSm/p35.jpg)
Mheshimiwa Rais na ujumbe wake watawasili Seattle: Jumatano Tarehe 1/4/2015, Usiku.Tunaombwa tufike tumpokee Mhe. Rais Jakaya Kikwete na kusalimiana nae
Jumuiya ya Tanzaseattle inawaomba kufika kwa wakati kama ilivyoainishwa:
Pahala:
FOUR SEASONS HOTEL SEATTLE99 Union StreetSeattle, Wa 98101
Siku na Saa:
Jumatano 1/4/2015,Saa Tatu Usiku- Wednesday April 1st, 2015 at 9pm.
Kwa niaba ya Uongozi wa Tanzaseattle.Ahsanteni kwa kufika kwa...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
KADI ZA KUMPA POLE RAIS JAKAYA KIKWETE ZIPELEKWE UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC,
![](http://www.sar-el.org/wp/wp-content/uploads/get-well-soon.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG, AHUTUBIA LEO MKUTANO WA MWISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s640/1A.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bgU4Z_pzN3Q/VmLBKyC9kMI/AAAAAAAAr_w/CsNTJfq8pPQ/s640/2..jpg)
Makamu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s72-c/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI YA USIKU WA JAKAYA JIJINI WASHINGTON DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p82ivnl_BuY/VB0owdIIEmI/AAAAAAAGkuo/zEPPIFx8jxY/s1600/0L7C1714.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6fzq8ERloQA/VNjGiV3obLI/AAAAAAADX1U/SSPT5qAIlWE/s72-c/ad1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA KANISA LA SEVENTH DAY ADVENTIST DUNIANI DKT TED N.C. WILSON IKULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-6fzq8ERloQA/VNjGiV3obLI/AAAAAAADX1U/SSPT5qAIlWE/s1600/ad1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MKnmj7hr_TE/VNjGiilFhuI/AAAAAAADX1g/UebJwe4_O-Y/s1600/ad2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eJTFX652IjY/VNjGiFM6PfI/AAAAAAADX1Q/t2TifWqKDGg/s1600/ad3.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Rais Kikwete amteua Wilson Masilingi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani
Rais Kikwete amemhamisha Wilson Masilingi kutoka kuwa Balozi wa Tanzania Uholanzi na sasa anakuwa Balozi wa Tanzania Marekani kuchukua nafasi ya Liberata Mulamula. Nafasi ya Masilingi itajazwa na Irene Kisyanju aliyeteuliwa kuwa balozi Uholanzi akitokea wizara ya mambo ya nje.Aidha Rais amemteua Mkuu wa chuo cha ulinzi cha taifa Luten Jenerali Charles Makakala kuwa Balozi wa TZ Zimbabwe kuchukua nafasi ya Adadi Rajab alieteuliwa kuwa mgombea ubunge CCM huko Tanga.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMku8UlNsqnI4pzrzhU0rQMZio9Kl7GwjvJnOcT3sirPLmU5rTxJcuDNYVAiLcmQBYF39qxxkzi3NCfOKZxNWtaL/BREAKINGNEWS.gif)
RAIS KIKWETE AHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA