Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WASHINGTON SEATTLE KUMPOKEA RAIS JAKAYA KIKWETE KESHO JUMATANO

Ndugu waTanzania wenzangu. Natumai munaendelea na afya njema.
Mheshimiwa Rais na ujumbe wake watawasili Seattle: Jumatano Tarehe 1/4/2015, Usiku.Tunaombwa tufike tumpokee Mhe. Rais Jakaya Kikwete na kusalimiana nae 
Jumuiya ya Tanzaseattle inawaomba kufika kwa wakati kama ilivyoainishwa:
Pahala:
FOUR SEASONS HOTEL SEATTLE99 Union StreetSeattle, Wa 98101
Siku na Saa:
Jumatano 1/4/2015,Saa Tatu Usiku- Wednesday April 1st, 2015 at 9pm.


Kwa niaba ya Uongozi wa Tanzaseattle.Ahsanteni kwa kufika kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WASHINGTON SEATTLE KUMPOKEA RAIS JAKAYA KIKWETE LEO JUMATANO

Ndugu waTanzania wenzangu. Natumai munaendelea na afya njema.
Mheshimiwa Rais na ujumbe wake watawasili Seattle: Jumatano Tarehe 1/4/2015, Usiku.Tunaombwa tufike tumpokee Mhe. Rais Jakaya Kikwete na kusalimiana nae 
Jumuiya ya Tanzaseattle inawaomba kufika kwa wakati kama ilivyoainishwa:
Pahala:
FOUR SEASONS HOTEL SEATTLE99 Union StreetSeattle, Wa 98101
Siku na Saa:
Jumatano 1/4/2015,Saa Tatu Usiku- Wednesday April 1st, 2015 at 9pm.


Kwa niaba ya Uongozi wa Tanzaseattle.Ahsanteni kwa kufika kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JAKAYA KIKWETE AHUTUBIA WILSON CENTER WASHINGTON, DC

   
Video ya hotuba ya Rais Jakaya Kikwete alipohutubia Wilson CenterAndrew Selee Makamu wa Rais Wilson Center akimwelezea Rais Jakaya Kikwete kabla hajamkaribisha kuhutubia wadau kutoka nchi mbalimbali waliojitokeza kwa wingi siku ya Ijumaa April 3, 2015 Wilson Center iliyopo Washington, DC.Rais Jakaya Kikwete akihutubia Wilson Center mchana wa siku ya Ijumaa April 3, 2015 jijini Washington, DC.Wadau kutoka nchini mbalimbali wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete alipokua ahihutubia Wilson...

 

11 years ago

Michuzi

Hoja ya haja ya Mwenyekiti wa Watanzania wa Washington-Seattle kuhusu uraia pacha

Yamekuwepo malumbano na mada nyingi kuhusu uraia pacha na jinsi ilivyo muhimu kuwa na uraia pacha kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi, na hapa namaanisha siyo ughaibuni tu hata wale waishio nchi jirani zinazotuzunguka. Pamoja na mada zote nzuri naomba kwa ruksa yenu turudi kwenye sheria yenyewe ya uraia Tanzania kama inavyojulikana kama (Tanzania citizenship Act no 6 1995).  Katika mada yangu hii naomba tujikite hasa kwenye aina ya uraia unaotambuliwa na sheria hii pamoja na lengo la...

 

10 years ago

Vijimambo

KADI ZA KUMPA POLE RAIS JAKAYA KIKWETE ZIPELEKWE UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC,

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umewaomba Watanzania na wale wote watakaopenda kuandika kadi za kumpa pole na kumtakia Mhe. Rais Profesa Jakaya Kikwete apone haraka, Ubalozi uneomba kadi zote zipelekwe Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulipo 2232 22nd St NW, Washington, DC 20037 na wao watamfikishia kadi yako Mhe. Rais kwa haraka iwezekanavyo na pia unaweza kumtumia ujumbe wa SMS Mhe, Rais Profesa jakaya Kikwete katika simu yake namba 646 309 2295 wa kumpa pole na...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI YA USIKU WA JAKAYA JIJINI WASHINGTON DC

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mtoto wa miaka minane aliejitambulisha kwa jina la Brian ambaye alitoa burudani ya kupiga kinanda wakati wa wimbo wa Taifa na nyimbo nyinginezo katika hafla ya USIKU WA JAKAYA uliofanyika usiku wa kuamkia leo katika hoteli ya JW Mariott jijini WashingtonRais Jakaya Kikwete akiongea na Dkt Seche Malecela baada ya kupokea risala ya pongezi kwa uongozi wake nchini Tanzania  katika hafla ya USIKU WA JAKAYA uliofanyika usiku wa kuamkia leo katika hoteli ya JW Mariott...

 

11 years ago

GPL

KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU KATI YA RAIS KIKWETE NA WATANZANIA, WASHINGTON DC

Mhe. Rais Dk Jakaya Kikwete akijibu maswali ya waTanzania. Usiku wa Agosti 2, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Jakaya Mrisho Kikwete alikutana na waTanzania katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Baada ya hotuba yake, Mhe. Rais aliruhusu maswali kutoka kwa waTanzania hao
Na haya, ndiyo yaliyoulizwa kwake.
Karibu… ...

 

11 years ago

GPL

KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU KATI YA RAIS KIKWETE NA WATANZANIA, WASHINGTON DC‏

Mhe. Rais Dk Jakaya Kikwete akijibu maswali ya waTanzania Usiku wa Agosti 2, 2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk Jakaya Mrisho Kikwete alikutana na watanzania katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC Baada ya hotuba yake, Mhe. Rais aliruhusu maswali kutoka kwa watanzania hao Na haya, ndiyo yaliyoulizwa kwake.
Karibu…

 

10 years ago

Dewji Blog

Salamu za mwaka mpya za Rais Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa watanzania

h4

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

HOTUBA YA MWAKA 2015 – FINAL.doc by moblog

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani