ALHAJ MWINYI: FUNDISHENI SAYANSI KWA KISWAHILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8mV1TZ00rBw/VceAR1ZDXyI/AAAAAAAAIzI/gmDhaqIGyWM/s72-c/2a.jpg)
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati akifungua Maonyesho ya 5 ya Sayansi kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Young Scientists Tanzania (YST) Dk. Gosbert Kamugisha akimtambulisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kwa Balozi wa Kenya nchini Tanzania Chirau Ali Mwakwere kabla ya kufungua maonyesho hayo mwishoni mwa wiki.
Na Daniel Mbega wa brotherdanny.comRAIS mstaafu wa awamu ya pili,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-baCE6BWogQQ/VVADRrq55gI/AAAAAAAAInQ/N7bM6UsIfnY/s72-c/Mahojiano%2Bna%2BMzee%2BAlhaj%2BMwinyi.jpg)
Mahojiano na Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi kuhusu KISWAHILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-baCE6BWogQQ/VVADRrq55gI/AAAAAAAAInQ/N7bM6UsIfnY/s640/Mahojiano%2Bna%2BMzee%2BAlhaj%2BMwinyi.jpg)
Ni lugha ya taifa kwa nchi za Kenya na Tanzania na pia yazungumzwa kwenye nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Burundi, Rwanda, Uganda, Visiwa vya Comoro na nchi nyingine
Ikizungumzwa na watu wanaokadiriwa kufikia milioni 100 hivi sasa, Kiswahili ndio lugha pekee ya kiAfrika iliyo miongoni mwa lugha rasmi za Umoja wa Afrika.
Ni lugha muhimu katika habari, shule, kazi za...
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mwinyi ataka sayansi ifundishwe Kiswahili
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka walimu wa shule za sekondari nchini kutoogopa kufundisha wanafunzi wao masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili, kwa kuwa inawezekana na wataelewa.
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s72-c/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita
![](http://3.bp.blogspot.com/-RdXm9csnEOg/VT4XdqTQI-I/AAAAAAAHTec/g5ERYI6UPmM/s1600/Ali-Hassan-Mwinyi.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 May
Mahojiano na Mhe Alhaj Ali Hassan Mwinyi
10 years ago
Habarileo07 Aug
Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AWASILI JIJINI WASHINGTON DC
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zu7WdtmGvVY/VbfadpdLFoI/AAAAAAAHsU8/6rqWbSsDmx8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-28%2Bat%2B10.37.52%2BPM.png)
RAIS MSTAAFU ALHAJ DKT MWINYI AMALIZA ZIARA YAKE NCHINI CHINA
Katika ziara hiyo, Rais Mwinyi pia alipata fursa ya kutembelea Ubalozi wetu na kupata chakula kilichoandaliwa na Balozi wa Tanzania nchini China, Jenerali (Mstaafu) AbdulRahman Shimbo pamoja na Mama Shimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu7WdtmGvVY/VbfadpdLFoI/AAAAAAAHsU8/6rqWbSsDmx8/s640/Screen%2BShot%2B2015-07-28%2Bat%2B10.37.52%2BPM.png)
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Alhaj Ali Hassan Mwinyi asema bado viongozi wanatumia madaraka yao kujinufaisha
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (katikati) akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
![Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_0018.jpg)
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
![Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda (kwanza kushoto) akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/IMG_00032.jpg)
Kamishna...