RAIS MSTAAFU ALHAJ DKT MWINYI AMALIZA ZIARA YAKE NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu7WdtmGvVY/VbfadpdLFoI/AAAAAAAHsU8/6rqWbSsDmx8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-28%2Bat%2B10.37.52%2BPM.png)
Rais Mstaafu Alhaj Dkt Ali Hassan Mwinyi alizuru Jamhuri ya Watu wa China kufuatia mualiko uliomhitaji ashiriki na kutoa hotuba katika ufunguzi wa mkutano wa kuadhimisha miaka sabini ya kuundwa kwa Umoja wa Mataifa tarehe 20 Julai 2015.
Katika ziara hiyo, Rais Mwinyi pia alipata fursa ya kutembelea Ubalozi wetu na kupata chakula kilichoandaliwa na Balozi wa Tanzania nchini China, Jenerali (Mstaafu) AbdulRahman Shimbo pamoja na Mama Shimbo.Rais Mstaafu Mwinyi, Mama Sitti Mwinyi na wadau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvtjATarc3E/VV2gn8lISZI/AAAAAAADnyg/7OJUzCYyrLE/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l0xuDIUQ6hw/VV2gpk85GTI/AAAAAAADny4/3uqiJLjSF2Q/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAMU WA RAIS WA CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5m-J1xgXhfQ/VV2y4J3QVqI/AAAAAAAHYys/pZHTR_Y2wxU/s640/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AMALIZA ZIARA YAKE NCHINI COMORO
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AWASILI JIJINI WASHINGTON DC
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s72-c/n2.jpg)
RAIS WA NAMIBIA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s640/n2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2d3OqdPED_E/VhwN0xUTs4I/AAAAAAAH_is/Hc35k5Ch6lY/s640/n8.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI.
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PIL,ALHAJ MWINYI ATEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA NSSF JIJINI DAR LEO