Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwinyi ataka sayansi ifundishwe Kiswahili

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka walimu wa shule za sekondari nchini kutoogopa kufundisha wanafunzi wao masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili, kwa kuwa inawezekana na wataelewa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ALHAJ MWINYI: FUNDISHENI SAYANSI KWA KISWAHILI

 Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati akifungua Maonyesho ya 5 ya Sayansi kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi Mtendaji wa Young Scientists Tanzania (YST) Dk. Gosbert Kamugisha akimtambulisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kwa Balozi wa Kenya nchini Tanzania Chirau Ali Mwakwere kabla ya kufungua maonyesho hayo mwishoni mwa wiki.
Na Daniel Mbega wa brotherdanny.comRAIS mstaafu wa awamu ya pili,...

 

10 years ago

IPPmedia

Teach science in Kiswahili, former president Mwinyi says.


IPPmedia
Teach science in Kiswahili, former president Mwinyi says.
IPPmedia
Former president Ali Hassan Mwinyi yesterday called for Kiswahili to be adopted in schools, especially in teaching of science subjects. “Education plays important role in economic development and there is a need to prioritise Kiswahili in the teaching ...

 

10 years ago

Vijimambo

Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC

Ifuatayo ni hotuba ya Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Ali Hassan Mwinyi alipohutubia mkutano wa nne wa Chama cha Ukuzaji Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) uliofanyika tarehe 23 Aprili 2015 katika Chuo Kikuu Cha Howard jijini Washington DC
KARIBU


 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili

RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’

Lugha ya Kiswahili ni tunu iliyositirika kwetu, haina budi kuenziwa. Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ni mfano mzuri na wa kuigwa katika kukienzi Kiswahili.

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano na Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi kuhusu KISWAHILI

Kiswahili inaaminika kuwa lugha asili ya Afrika inayozungumzwa na watu wengi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara.
Ni lugha ya taifa kwa nchi za Kenya na Tanzania na pia yazungumzwa kwenye nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Burundi, Rwanda, Uganda, Visiwa vya Comoro na nchi nyingine
Ikizungumzwa na watu wanaokadiriwa kufikia milioni 100 hivi sasa, Kiswahili ndio lugha pekee ya kiAfrika iliyo miongoni mwa lugha rasmi za Umoja wa Afrika.
Ni lugha muhimu katika habari, shule, kazi za...

 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ataka maboresho utumishi wa umma

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan MwinyiRAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka watumishi wa umma kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na washiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, ili kuwa na utumishi uliotukuka kwa ustawi wa Taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwinyi ataka Lowassa, Mengi waungwe mkono

Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi ameitaka jamii ya wafugaji wa Kimasai kuunga mkono jitihada za waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi kuikomboa kielimu jamii hiyo kwa kuhakikisha watoto wa kike wanakwenda shule badala ya kuolewa mapema.

 

9 years ago

Habarileo

Mwinyi ataka Watanzania kuchangamkia masomo KIU

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa watanzania kujiunga na chuo hicho ili kunufaika na elimu yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani