Mwinyi ataka sayansi ifundishwe Kiswahili
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka walimu wa shule za sekondari nchini kutoogopa kufundisha wanafunzi wao masomo ya sayansi kwa lugha ya Kiswahili, kwa kuwa inawezekana na wataelewa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8mV1TZ00rBw/VceAR1ZDXyI/AAAAAAAAIzI/gmDhaqIGyWM/s72-c/2a.jpg)
ALHAJ MWINYI: FUNDISHENI SAYANSI KWA KISWAHILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8mV1TZ00rBw/VceAR1ZDXyI/AAAAAAAAIzI/gmDhaqIGyWM/s640/2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BxvGeVctN9c/VceAQDO-scI/AAAAAAAAIzA/8M5HMUK6v8o/s640/2111111.jpg)
Na Daniel Mbega wa brotherdanny.comRAIS mstaafu wa awamu ya pili,...
10 years ago
IPPmedia08 Aug
Teach science in Kiswahili, former president Mwinyi says.
IPPmedia
IPPmedia
Former president Ali Hassan Mwinyi yesterday called for Kiswahili to be adopted in schools, especially in teaching of science subjects. “Education plays important role in economic development and there is a need to prioritise Kiswahili in the teaching ...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vVfATLlyzm4/VTmuLhNx1XI/AAAAAAAAIPY/YD55I_RhIvU/s72-c/Snapshot(65).jpg)
Mzee Mwinyi ahutubia wadau wa Kiswahili Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-vVfATLlyzm4/VTmuLhNx1XI/AAAAAAAAIPY/YD55I_RhIvU/s1600/Snapshot(65).jpg)
KARIBU
10 years ago
Habarileo07 Aug
Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Mzee Mwinyi ni mwalimu ‘darasa maalumu la Kiswahili’
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-baCE6BWogQQ/VVADRrq55gI/AAAAAAAAInQ/N7bM6UsIfnY/s72-c/Mahojiano%2Bna%2BMzee%2BAlhaj%2BMwinyi.jpg)
Mahojiano na Mhe. Alhaj Ali Hassan Mwinyi kuhusu KISWAHILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-baCE6BWogQQ/VVADRrq55gI/AAAAAAAAInQ/N7bM6UsIfnY/s640/Mahojiano%2Bna%2BMzee%2BAlhaj%2BMwinyi.jpg)
Ni lugha ya taifa kwa nchi za Kenya na Tanzania na pia yazungumzwa kwenye nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Burundi, Rwanda, Uganda, Visiwa vya Comoro na nchi nyingine
Ikizungumzwa na watu wanaokadiriwa kufikia milioni 100 hivi sasa, Kiswahili ndio lugha pekee ya kiAfrika iliyo miongoni mwa lugha rasmi za Umoja wa Afrika.
Ni lugha muhimu katika habari, shule, kazi za...
10 years ago
Habarileo24 Jun
Mwinyi ataka maboresho utumishi wa umma
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amewataka watumishi wa umma kufanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na washiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, ili kuwa na utumishi uliotukuka kwa ustawi wa Taifa.
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwinyi ataka Lowassa, Mengi waungwe mkono
9 years ago
Habarileo23 Nov
Mwinyi ataka Watanzania kuchangamkia masomo KIU
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa watanzania kujiunga na chuo hicho ili kunufaika na elimu yake.