Mwinyi ataka Watanzania kuchangamkia masomo KIU
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa watanzania kujiunga na chuo hicho ili kunufaika na elimu yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMwinyi awaasa wanafunzi kuchangamkia fursa ya kupata taaluma Chuo Kikuu cha Kampala
Akiongea wakati wa mahafali ya tatu ya chuo hicho kwa upande wa Tanzania jana ambapo wahitimu walitunikiwa shahada ,stashahada na vyeti vya kufuzu fani mbalimbali alisema chuo hicho kinatoa elimu bora ...
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Ilani ya Ukawa na kiu ya Watanzania
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
UKAWA timizeni kiu ya Watanzania
VYAMA vitatu vya siasa vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimeahidi kuzunguka nchi nzima kushawishi wananchi waikatae katiba mpya inayopendekezwa kwa sababu imepuuza maoni yao. UKAWA ambayo...
10 years ago
Habarileo31 May
Wassira ataka wakulima kuchangamkia benki yao
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Stephen Wassira, amewataka wakulima na wadau wa sekta ya kilimo cha mazao ya aina mbalimbali ikiwemo kahawa kuanza kujipanga kutumia Benki ya Kilimo kwa kuingia mikataba ili waweze kupata mikopo kwa ajili ya kupata pembejeo na vifaa vya kilimo.
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji
Ofisa utumishi Mkuu Wilaya ya kinondoni Bwana Godfrey Mugomi akikata utepe kuashiaria uzinduzi wa Hoteli ya kisasa STAR CITY HOTEL iliyopo Afrikana Sinza wanaoshudia ni Mkurugezi mkuu na mmiliki wa Hoteli hiyo Bwana Obadia Mtewele na Mkewe Joyce Msigwa hoteli hiyo ya kisasa inayo uwezo wa kupokea wageni kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi.
Muhudumu aliye fuzu katika kazi za Hoteli akiandaa vyombo kwa ajili ya wageni.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Asgk5SAnXxE/VUIvZbZmqKI/AAAAAAAC32E/qDH8HvIOWIE/s72-c/pix%2Bkigamboni%2B3.jpg)
CBA YAHIMIZA WATANZANIA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA NYUMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Asgk5SAnXxE/VUIvZbZmqKI/AAAAAAAC32E/qDH8HvIOWIE/s1600/pix%2Bkigamboni%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-onYbsccEtQ8/VUIui6wGMTI/AAAAAAAC31g/aVxHBPifqb8/s1600/kigamboni%2B%2B7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sRpdaOipzCo/VUIuqFtc7jI/AAAAAAAC31s/nVG_ioijy1w/s1600/kigamboni%2B1.jpg)
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Watanzania wahimizwa kuchangamkia fursa za ajira, Emirates
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s72-c/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s640/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akionesha Nishani aliyopewa mara baada ya kumaliza mbio za Kilometa 21 kwenye mbio za Kili Marathon leo mjini Moshi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2bbfb08c-29d1-455d-a8bb-d37c553e8cac.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nHGnO5J2rNo/XlvZfGZzPyI/AAAAAAALgPA/KvIiIYWJ7B4iK9f-8xGAHJ4Oc-f9SVyvACLcBGAsYHQ/s640/2bc7262c-42d3-4472-87ad-4a74096c1925.jpg)
KILI MARATHON 2020: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki mbio za Kili Marathon ( KM 21) mjini Moshi leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/c08831dc-c199-4cb5-a5cb-e13b04ba822f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/d50c6fd8-9e5e-41f2-a9e7-4fa9dc5f5600.jpg)
Na. Aron Msigwa – WMU, Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii...
5 years ago
MichuziWaziri Mwakyembe ahimiza watanzania kuchangamkia fursa