Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji
Ofisa utumishi Mkuu Wilaya ya kinondoni Bwana Godfrey Mugomi akikata utepe kuashiaria uzinduzi wa Hoteli ya kisasa STAR CITY HOTEL iliyopo Afrikana Sinza wanaoshudia ni Mkurugezi mkuu na mmiliki wa Hoteli hiyo Bwana Obadia Mtewele na Mkewe Joyce Msigwa hoteli hiyo ya kisasa inayo uwezo wa kupokea wageni kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi.
Muhudumu aliye fuzu katika kazi za Hoteli akiandaa vyombo kwa ajili ya wageni.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akionesha Nishani aliyopewa mara baada ya kumaliza mbio za Kilometa 21 kwenye mbio za Kili Marathon leo mjini Moshi.


KILI MARATHON 2020: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki mbio za Kili Marathon ( KM 21) mjini Moshi leo.


Na. Aron Msigwa – WMU, Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii...
5 years ago
MichuziWaziri Mwakyembe ahimiza watanzania kuchangamkia fursa
TATIZO la Watanzania kushindwa kuziwahi fursa duniani, kunafanya mataifa mengine kuwahi kuzitumia fursa ambazo watanzania ndio wangeliweza kuzichukua na kufaidika nazo.Aidha imeelezwa kuwa kutokana na tatizo hilo upo uwezekano mkubwa duniani wa Kiswahili ambacho ni fursa kwa watanzania kusambazwa na taifa la China kutokana na juhudi kubwa zinazofanywa na taifa hilo.Kauli hizo zimetolewa na Waziri wa Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni, Dk Harrison Mwakyembe wakati akizindua taarifa ya...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Watanzania wahimizwa kuchangamkia fursa za ajira, Emirates
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA AJIRA ZITOLEWAZO NA AFRIKA MASHARIKI
WATANZANIA wametakiwa kujifunza kuchangamkia fursa za ajira zinazotolewa na Afrika Mashariki kama ilivyo kwa nchi nyingine.
Kauli hiyo ilitolewa jana na mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa alipokuwa kwenye kampeni zake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Namanga.
Lowassa alisema iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha kuwa watanzania wanachangamkia fursa za Afrika Mashariki kama ilivyo kwa Kenya.
"Napenda mahusiano ya Afrika...
Kauli hiyo ilitolewa jana na mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa alipokuwa kwenye kampeni zake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Namanga.
Lowassa alisema iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha kuwa watanzania wanachangamkia fursa za Afrika Mashariki kama ilivyo kwa Kenya.
"Napenda mahusiano ya Afrika...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Membe awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na kuwekeza katika Visiwa vya Comoro
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) amewahimiza wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji Visiwani Comoro kwani uhusiano baina ya nchi hizi mbili umeimarika. Mhe. Membe alitoa kauli hiyo wakati akilihutubia Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Comoro lililoandaliwa na Balozi za Tanzania na Comoro kwa kushirikiana na sekta binafsi za nchi hizo mbili jijini Moroni, Comoro tarehe 23 Aprili, 2015. “Watanzania...
10 years ago
MichuziDEGE ECO - VILLAGE WASHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA, WATANZANIA WAOMBWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KUNUNUA NYUMBA
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
DEGE ECO — Village washiriki maonyesho ya Sabasaba, wawaomba Watanzania kuchangamkia fursa za kununua nyumba
10 years ago
VijimamboDEGE ECO - VILLAGE WASHIRIKI MAONYESHO YA SABASABA, WAWAOMBA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KUNUNUA NYUMBA
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Oman na fursa chekwa za uwekezaji kwa Watanzania
Wakiwa na matumaini ya makubwa kwa Watanzania, jopo la wafanyabiashara kutoka Oman wapo nchini kusaka fursa za uwekezaji katika sekta ya chakula na mifugo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania