Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oman na fursa chekwa za uwekezaji kwa Watanzania

Wakiwa na matumaini ya makubwa kwa Watanzania, jopo la wafanyabiashara kutoka Oman wapo nchini kusaka fursa za uwekezaji katika sekta ya chakula na mifugo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji

IMG_4489

IMG_4507

Ofisa utumishi Mkuu  Wilaya ya kinondoni  Bwana Godfrey Mugomi akikata utepe  kuashiaria  uzinduzi  wa Hoteli ya kisasa STAR CITY HOTEL iliyopo Afrikana Sinza wanaoshudia ni Mkurugezi mkuu na mmiliki wa Hoteli hiyo Bwana Obadia Mtewele na Mkewe Joyce Msigwa hoteli hiyo ya kisasa inayo uwezo wa kupokea wageni  kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi.

IMG_4494

Muhudumu aliye fuzu katika kazi za Hoteli akiandaa vyombo kwa ajili ya wageni.

IMG_4492

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania na fursa chekwa katika teknolojia ya habari

Mwaka 2012 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipotembelea Atamizi ya Teknohama ya Dar es Salaam (DTBi), iliyo chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), aliainisha changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya sayansi na teknolojia pamoja na wagunduzi.

 

10 years ago

Michuzi

UTT-AMIS YATOA WITO KWA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA MASUALA YA UWEKEZAJI

WATANZANIA wametakiwa kujitokeza katika masuala ya uwekezaji kwani fursa hiyo wanayo kama ilivyo kwa baadhi ya watu kutoka nje. Hayo yalisemwa na Ofisa Habari Idara ya Masoko, Waziri Ramadhani, wakati wa maonesho ya kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi.Alisema hivyo kutokana na baadhi ya watu hapa nchini kudhani kuwa ili mtu awe muwekezaji ni lazima atoke nje ya nchi wakati sio kweli. “Nawaomba Watanzania wenzangu watambue kuwa wao pia ni...

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka

 Mkuu wa kitengo cha Rasilimali watu wa benki ya Exim Tanzania  Bw. Frederick Kanga (katikati) akimfanyia usahili mmoja wa watanzania anayeishi nchini Marekani Bw. Paul Rupia mara baada ya Mkutano wa Uajiri barani  Afrika (Career Africa Recruitment Summit 2015) uliofanyika mjini New York, Marekani hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Bw Dinesh Arora. Benki hiyo imeahidi kutoa fursa sawa za ajira kwa Watanzania wote wakiwemo wale wanaoishi nje ya nchi ili...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana changamkieni fursa za uwekezaji — Dk Bilal

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal, amewataka vijana nchini kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji kwa njia ya ubia kutoka kwa wawekezaji wa nje, ili kujitengenezea fursa za ajira...

 

11 years ago

Michuzi

BENJA ATUA DAR KUSAKA FURSA ZA UWEKEZAJI



Mwana Diaspora Benja ambaye pia ni nyota katika kipindi cha kila wiki katika mtandao wa Vijimambo cha IJIWE CHA UGHAIBUNI ametua Dar es salaam wiki hii akiwa katika harakati za kusaka fursa ya uwekezani na kutoa ajira kwa ndugu, jamaa na marafiki. Hapa ni katika kiota cha Break Point ya mjini ambako leo ameandaa dina la mchana kwa wadau kadhaa akiwamo Ankal

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bagamoyo ina fursa nyingi za uwekezaji — Nagu

MJI wa Bagamoyo umetajwa kuwa ni moja ya maeneo yenye fursa nyingi za  uwekezaji na zinavutia wawekezaji kuwekeza katika sekta mbalimbali ambazo zikitumika ipasavyo zitasaidia mji huo kupiga hatua za...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO OMAN

Waziri Mkuu, Mizengo pinda akizunguma na Watanzania waishio nchini Oman akihitimisha ziara yake nchini humo Oktoba 29, 2014. Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Maalim Mahadhi nakushoto ni Balozi wa  Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh. Baadhi ya watanzania waishio Oman wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo PInda wakati alipowahutubia kwenye hoteli ya Al Bustan mjini Muscut Oktoba 29, 2014.  Baadhi ya watanzania waishio Oman wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani