Ilani ya Ukawa na kiu ya Watanzania
Agosti 29, vyama vinne vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vilizindua kampeni zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
UKAWA timizeni kiu ya Watanzania
VYAMA vitatu vya siasa vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimeahidi kuzunguka nchi nzima kushawishi wananchi waikatae katiba mpya inayopendekezwa kwa sababu imepuuza maoni yao. UKAWA ambayo...
9 years ago
Habarileo23 Nov
Mwinyi ataka Watanzania kuchangamkia masomo KIU
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa watanzania kujiunga na chuo hicho ili kunufaika na elimu yake.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XJ96Wr5Ynho/Ve7CgE6Cg0I/AAAAAAAAJt0/rENTil5ADLM/s72-c/Lowasa%2Bna%2BMagufuli.jpg)
ILANI ZA CHADEMA /UKAWA NA CCM ZINAVYOSEMA KUHUSU SUALA LA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XJ96Wr5Ynho/Ve7CgE6Cg0I/AAAAAAAAJt0/rENTil5ADLM/s640/Lowasa%2Bna%2BMagufuli.jpg)
ya Chadema/UKAWA
Mosi, maelezo ya Mkt wa CHADEMA yanasema kuwa..."UKAWA inajengwa katika msingi mkuu wa kubadilisha katiba iliyopo ili kuweka katiba ya wananchi kwa ajili ya maendeleo yao. Katika kipindi hiki ambacho hali ya maisha ya Watanzania imeendelea kuwa duni, uchumi wa nchi yetu umeyumba, ubora wa elimu ni wa mashaka, ajira kwa vijana ni za kubahatisha na ukiukwaji na uvunjifu wa haki za...
9 years ago
Vijimambo03 Sep
MWIGULU HAKAMATIKI KATIKA KUINADI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI,AWALIPUA UKAWA
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11947676_423169441218623_4148583794825625009_n.jpg?oh=0f84ba486afb78f84eb33a4d8c716610&oe=56714DA1)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11937942_423169661218601_1676314127316112351_n.jpg?oh=81222d521cbdbc9496855651a7eab523&oe=5660B2E5)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11953037_423169527885281_6387678350303757731_n.jpg?oh=32268e6a0d9b6d80fc5d47947bdc4ae5&oe=5666F7FD)
9 years ago
Vijimambo30 Aug
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ilani-620x308.jpg)
Hotuba ya Lowassa
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Miaka zaidi ya hamsini ya...
9 years ago
GPL16 Nov
9 years ago
Michuzi31 Aug
WATANZANIA WATAKIWA KUTAFAKARI KAULI YA MGOMBEA WA UKAWA KUACHIA WATUHUMIWA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ox3I-6_07KgGTtv0h5xIWYCn4hibxS9GO_iA_epPzEOrPjbY7Y6Ep2D5RxJdMVJPkzOYlF36Tl3AZZmDyyTCX6c=s0-d-e1-ft#http://www.itv.co.tz/media/image/magu30.jpg)
Watanzania wametakiwa kutafakari kwa kina kauli iliyotolewa na mgombea wa kiti cha urais kupitia UKAWA Mh Edward Lowassa ya kuwaachia huru baadhi ya watuhumiwa wa makosa ya kigaidi yaliyosababisha vifo na ulemavu wa kudumu kwa baadhi ya viongozi wa dini wa kiislamu na kikristo pamoja na wageni kutoka nje ya nchi sambamba na watuhumiwa wengine wa makosa ya kijinai bila kujali athari zinazosababishwa na matukio ya kigaidi ulimwenguni.
Tahadhari hiyo imetolewa mjini Ludewa mkoani Njombe Bwana...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Oct
WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura.
Nategemea habari hizi zitawafika Wahusika wakuu wa Vyama vya Vinavounda UKAWA.. Kama sisi no Wazalendo ambao Tuna kiu ya Mabadiliko ya Uongozi katika Serikali. Mara hii tumejitokeza Vijana wengi kutafuta Vichinjio ya Kuiondoa Serikali ya CCM […]
The post WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo07 Aug
JK: Azam imekata kiu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka timu ya Azam kufika kimataifa zaidi kwa kuchukua makombe kutoka katika michuano mikubwa barani Afrika.