Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA YAWATAKA WATANZANIA KUENDELEA KUWA WATULIVU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Watanzania tuwe watulivu kuyapokea matokeo

Tunachukua nafasi hii ya kipekee kuwapongeza Watanzania wote kwa kutumia vyema nafasi yao katika kupiga kura ili kuwachagua viongozi wao.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Iringa watakiwa kuwa watulivu na kulinda amani

Wakazi wa mkoani Iringa wametakiwa kuwa watulivu kwa kupunguza ushabiki wa kisiasa ili kuepusha vurugu zisizo na msingi na kuufanya mkoa huo kuwa sehemu salama ya kuishi.

Hatua hiyo inatokana na uwepo wa watuhumiwa 50 waliokamatwa kwa madai ya kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi.

Ni kutokana na mvutano uliopo baina ya makundi mawili ya kisiasa juu ya ushindi wa mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa- Bi- Amanina...

 

10 years ago

Michuzi

Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu

Na Mwandishi Wetu
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...

 

11 years ago

Michuzi

TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA YAO NA KUACHA KUENDELEA KUGOMEA MASHINE ZA EFDS

DSCF2699Kaimu kamishna Mkuu wa wa Mamlaka ya mapato Tanzania Rished Bade akizungumza na vyombo vya habari jijini Arusha kuhusu mgomo wa wafanyabiashara hapa Nchini DSCF2695Waandishi wa habari wakiwa kazini DSCF2697Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa walipa kodi Richard Kayombo DSCF2713Mr.Jangala ambaye ni Ajenti wa usafirishaji wa magari ya mikoani akilalamikia hali ya wafanyabiashara kugoma ambapo anadai kuwa imemuathiri kwa kiasi kikubwa kukosa abiria wanaokuja kununua bidhaa za jumla DSCF2700 DSCF2706Shughuli mbalimbali zilidorora hata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pipe Industries yawataka Watanzania kuzingatia ubora

KIWANDA cha utengenezaji mabomba ya plastiki, Pipe Industries, kimewataka Watanzania kuangalia ubora wa bidhaa na si kufuata bei nafuu. Akizungumza katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam, Ofisa...

 

9 years ago

Michuzi

Mzumbe yawataka watanzania kuwekeza elimu kwa vijana

Watanzania wametakiwa kuwekeza kwa kuwapatia vijana wao elimu ya juu ili kuwawezesha kuwa na maarifa yatakayowasaidia katika maisha yao na kutoa mchango kwa taifa.  Akizungumza katika mahafali ya 14 ya Chuo Kikuu Mzumbe, Kaimu Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Josephat Itika alisema elimu bora ndio njia ambayo itaweza kuwezesha vijana kufanikiwa na taifa kupata maendeleo endelevu.  “Elimu ndio chachu ya kweli ya maendeleo, ni lazima wazazi na walezi kuzingatia hili,” alisema Prof. Itika...

 

10 years ago

Mwananchi

DIB yawataka wateja wa benki kuwa makini

Bodi ya Bima ya Amana (DIB), imewataka Watanzania kuwa makini wanapoweka fedha zao benki kwa kuwa sheria inatoa fidia ya Sh1.5 milioni pekee, pindi benki inapofilisika.

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA MATAPELI

Na Rose Masaka-MAELEZO-Dar es Salaam.
Serikali imewataka  wananchi       kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa Taasisi hizo zimekuwa zikitumia  mitandao ya simu za mkononi kutapeli wananchi kwa kuwaraghai kuwa watawapatia mikopo.
Mwambene ameongeza kuwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa

Saturday, October 10, 2015 Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo […]

The post Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani