Pipe Industries yawataka Watanzania kuzingatia ubora
KIWANDA cha utengenezaji mabomba ya plastiki, Pipe Industries, kimewataka Watanzania kuangalia ubora wa bidhaa na si kufuata bei nafuu. Akizungumza katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam, Ofisa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSERIKALI YAWATAKA MADEREVA WA BRT KUZINGATIA MAFUNZO
10 years ago
Michuzi
Serikali yawataka Vijana kuzingatia vigezo ili wapate mkopo


9 years ago
StarTV20 Nov
TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo
Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.
Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .
Kabla ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...
5 years ago
The Canton Independent Sentinel10 Apr
(2020-2026) Plastic Decorative Laminates Market Analysts Expect Robust Growth in 2026| Fletcher Building, OMNOVA Solutions, Greenlam Industries, Merino Group, Wilsonart International, Abet Laminati, Archidply Industries, Fundermax GmbH, Panolam Industries
11 years ago
Michuzi.jpg)
SERIKALI YAWATAKA WASIMAMIZI NA WADADISI WA UTAFITI WA TATHMINI YA HUDUMA ZA AFYA NCHINI KUZINGATIA WELEDI
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
WAKANDARASI NCHINI WATAKIWA KUZINGATIA UBORA WA KAZI ZAO

Na Woinde shizza wa libeneke la kaskazini blog.
Wakandarasi nchini wametakiwa kuzingatia ubora ,viwango vya kazi zao ili kuweza kutekeleza kazi zao kwa ufanisi zaidi na kuweza kufanya bkazi yenye viwango vya hali ya juu pindi wanapo tekeleza miradi mbalimbali nchini.
Endapo wakandarasi wazawa wataweza kuzingatia taratibu za viwango vya ujenzi pindio wanapopata zabuni za miradi ya ujenzi hali hiyo itaongeza chachu ya mabadiliko na kuweza kushasishi serikali kuyweza kuwa...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...
10 years ago
Michuzi24 Feb
Mhadhiri wa chuo kikuu Mzumbe awataka maafisa ugavi na manunuzi nchini kuzingatia ubora na viwango


9 years ago
GPL16 Nov