DIB yawataka wateja wa benki kuwa makini
Bodi ya Bima ya Amana (DIB), imewataka Watanzania kuwa makini wanapoweka fedha zao benki kwa kuwa sheria inatoa fidia ya Sh1.5 milioni pekee, pindi benki inapofilisika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-csSzHCPURUM/U9D5dhDAr7I/AAAAAAAF5tg/YSuap_UhDgo/s72-c/PIX+1.jpg)
SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA MATAPELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-csSzHCPURUM/U9D5dhDAr7I/AAAAAAAF5tg/YSuap_UhDgo/s1600/PIX+1.jpg)
Serikali imewataka wananchi kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa Taasisi hizo zimekuwa zikitumia mitandao ya simu za mkononi kutapeli wananchi kwa kuwaraghai kuwa watawapatia mikopo.
Mwambene ameongeza kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jX_GZ5Gkwos/VWQw4eymsTI/AAAAAAAHZ7k/lyKCwrGxaVM/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania akutana na wateja wa benki hiyo jijini Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-jX_GZ5Gkwos/VWQw4eymsTI/AAAAAAAHZ7k/lyKCwrGxaVM/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nCk3GOzPitE/VWQw5V1LbRI/AAAAAAAHZ7s/3wR8ENsde0c/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q18W2xkLBcc/VZRfpxpkkhI/AAAAAAAHmTg/jRQhzgHwz2o/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-q18W2xkLBcc/VZRfpxpkkhI/AAAAAAAHmTg/jRQhzgHwz2o/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ub2ToXc1mJk/VZRfqM-TipI/AAAAAAAHmTc/h9E2FVAuv9I/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZTVeUcNDko/VZRfrIz5OII/AAAAAAAHmTs/yojDIVsb45E/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QtMTgvshKR4/VZRfpO8BxDI/AAAAAAAHmTI/B4s-X0vVApE/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Kw7bbpOcmw/VZRfpNEYH2I/AAAAAAAHmTE/n4tMIOfTgrI/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
5 years ago
MichuziTANGA UWASA YAWATAKA WATEJA KUCHUKUA TAHADHARI WAKATI WA KUPATA HUDUMA KWA KUEPUKA MIRUNDIKANO
Amesema tahadhari hiyo wameichukua ikiwa ni hatua mojawapo kuunga mkono juhudi serikali kuzuia kuingia nchini ugonjwa huo kwa kutoa elimu kwa njia ya jumbe mbalimbali katika maeneo ya ofisi zao,hususani...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAWATAKA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI 'DIASPORA' KUKOPA MIKOPO YA NYUMBA
9 years ago
GPL16 Nov
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Usalama wa wateja wa benki shakani
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wananchi wahadharishwa kuwa makini
JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.