Wassira ataka wakulima kuchangamkia benki yao
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Stephen Wassira, amewataka wakulima na wadau wa sekta ya kilimo cha mazao ya aina mbalimbali ikiwemo kahawa kuanza kujipanga kutumia Benki ya Kilimo kwa kuingia mikataba ili waweze kupata mikopo kwa ajili ya kupata pembejeo na vifaa vya kilimo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI
5 years ago
Michuzi
SERIKALI YAWAKATA WAKULIMA SHINYAGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA VIWANDA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe katikati akiangalia mashine ya kuoka mikate iliyobuniwa na Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) Tawi la Shinyanga kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Ludovick Nduhiye na Kushoto kwake ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amoja na Mkurugenzi wa kiwanda kinachozalisha mafuta ya alizeti Gilitu Enterprises Bw....
5 years ago
Michuzi
WAKULIMA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KILIMO CHA PARACHICHI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu mitambo inayotumika kutengeneza na kusaga zao la parachichi kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda cha Olivado Bw. Ngukula Lihuluku wakati wa ziara yake katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe.

9 years ago
Habarileo23 Nov
Mwinyi ataka Watanzania kuchangamkia masomo KIU
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa watanzania kujiunga na chuo hicho ili kunufaika na elimu yake.
9 years ago
Michuzi
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Wassira: Benki ya kilimo itaanza karibuni
WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema Benki ya Kilimo itaanza kazi wakati wowote kuanzia sasa, ili kuwakomboa wakulima. Wassira alitoa kauli hiyo juzi wakati akifanya...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Wakulima wanataka masilahi yao yazingatiwe
11 years ago
Mwananchi05 Feb
KNCU yakanusha kukopa wakulima kahawa yao
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Silinde ataka wakulima kufidiwa
MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema), ameitaka serikali kuwafidia wakulima wa Mbozi ambao mazao yao yaliungua kutokana na kutumia mbolea feki. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Silinde alisema...