Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wassira ataka wakulima kuchangamkia benki yao

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven WassiraWAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Stephen Wassira, amewataka wakulima na wadau wa sekta ya kilimo cha mazao ya aina mbalimbali ikiwemo kahawa kuanza kujipanga kutumia Benki ya Kilimo kwa kuingia mikataba ili waweze kupata mikopo kwa ajili ya kupata pembejeo na vifaa vya kilimo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAKATA WAKULIMA SHINYAGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA VIWANDA










Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe katikati akiangalia mashine ya kuoka mikate iliyobuniwa na Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) Tawi la Shinyanga kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Ludovick Nduhiye na Kushoto kwake ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela.



Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amoja na Mkurugenzi wa kiwanda kinachozalisha mafuta ya alizeti Gilitu Enterprises Bw....

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KILIMO CHA PARACHICHI



Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu mitambo inayotumika kutengeneza na kusaga zao la parachichi kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda cha Olivado Bw. Ngukula Lihuluku wakati wa ziara yake katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe.Meneja Uzalishaji wa kiwanda...

 

9 years ago

Habarileo

Mwinyi ataka Watanzania kuchangamkia masomo KIU

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam, Ali Hassan Mwinyi ametoa mwito kwa watanzania kujiunga na chuo hicho ili kunufaika na elimu yake.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA

Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye, wakulima wadogo 21,000 walio katika vikundi 89 vya ushirika katika Kata ya Igomaa, mkoani Iringa keshokutwa wanatarajiwa kupatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shbilioni 1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) nchini kwa ajili ya maendeleo ya shghuli zao za kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi wa Mikopo na Usimamizi wa Biashara wa benki hiyo, Robert Pascal alisema maandalizi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wassira: Benki ya kilimo itaanza karibuni

WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema Benki ya Kilimo itaanza kazi wakati wowote kuanzia sasa, ili kuwakomboa wakulima. Wassira alitoa kauli hiyo juzi wakati akifanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wanataka masilahi yao yazingatiwe

Hivi karibuni Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (Mviwata), Mkoa wa Manyara kwa kutambua nafasi yao wakiwa wazalishaji wakuu wa mazao ya chakula na biashara, walikutana mjini Babati na kutoa vipaumbele wanavyoitaka vitekelezewe na wagombea.

 

11 years ago

Mwananchi

KNCU yakanusha kukopa wakulima kahawa yao

>Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Mkoa Kilimanjaro (KNCU), kimesema hakijawahi kukopa wakulima  kwani kinachofanya ni ukusanyaji peke yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Silinde ataka wakulima kufidiwa

MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema), ameitaka serikali kuwafidia wakulima wa Mbozi ambao mazao yao yaliungua kutokana na kutumia mbolea feki. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Silinde alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani