Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Silinde ataka wakulima kufidiwa

MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema), ameitaka serikali kuwafidia wakulima wa Mbozi ambao mazao yao yaliungua kutokana na kutumia mbolea feki. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Silinde alisema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

DC ataka wakulima wauziwe miche ya kahawa

MKUU wa Wilaya ya Moshi, Dk. Ibrahim Msengi, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kutoza pesa kwa miche bora ya kahawa inayotolewa kwa wakulima wa zao hilo badala ya kugawa...

 

10 years ago

Habarileo

Wassira ataka wakulima kuchangamkia benki yao

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven WassiraWAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika , Stephen Wassira, amewataka wakulima na wadau wa sekta ya kilimo cha mazao ya aina mbalimbali ikiwemo kahawa kuanza kujipanga kutumia Benki ya Kilimo kwa kuingia mikataba ili waweze kupata mikopo kwa ajili ya kupata pembejeo na vifaa vya kilimo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu tawala Singida ataka mikakati kuwekwa kuongeza wakulima wanaotumia mbegu bora

DSC01960

Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye ufunguzi wa semina juu ya kuongeza upatikanaji wa mbegu bora na mbolea kwa wakulima wadogo wadogo kwa kuimarisha masoko ya pembejeo katika mikoa ya Singida na Dodoma.

Na Nathaniel Limu, Singida

KATIBU tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, amewahimiza wadau mbalimbali wanaojishughulisha na sekta ya kilimo,kuweka mikakati ya kuhakikisha zaidi ya aslimia 85 ya wakulima wawe wanatumia mbegu bora,ili kuleta mapinduzi ya kweli ya...

 

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Momba wafurahia ahadi za Silinde

WAKAZI wa Wilaya ya Momba mkoani Mbeya wamempongeza Mbunge wao David Silinde (CHADEMA) kwa kutimiza ahadi ya kuondoa tatizo sugu la maji aliyoitoa mwaka 2010 wakati wa kampeni. Wakizungumza kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania

Watanzania walioathirika na mlipuko wa mabomu katika ubalozi wa Marekani mjini Dar es Salaam wameshinda kesi yao na sasa watalipwa fidia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya:wanawake waliobakwa kufidiwa

Wanawake waliobakwa wakati wa harakati za kuuangusha utawala wa aliyekuwa Rais wa Libya Muammar Gaddafi kulipwa fidia

 

11 years ago

Tanzania Daima

10 kufidiwa mabomu Ubalozi wa Marekani

MIAKA 16 baada ya  kutokea kwa mlipuko wa mabomu katika Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam, imefahamika kuwa waathirika  10 ndio watakaolipwa fidia. Fedha zinazotarajiwa kulipwa kwa wathirika hao...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwathiriwa wa ubakaji kufidiwa Zimbabwe

Mahakama ya juu zaidi nchini Zimbabwe imeagiza serikali kumlipa fidia mwathiriwa wa ubakaji aliyekataliwa kuavya mimba yake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani