Wakazi Momba wafurahia ahadi za Silinde
WAKAZI wa Wilaya ya Momba mkoani Mbeya wamempongeza Mbunge wao David Silinde (CHADEMA) kwa kutimiza ahadi ya kuondoa tatizo sugu la maji aliyoitoa mwaka 2010 wakati wa kampeni. Wakizungumza kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAFURAHIA GULIO LA VODACOM EXPO
Amri Abeid jijini Arusha.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
StarTV06 Nov
Wakazi wa Manyara wamshauri Dk. Magufuli kutozitekeleza kwa pupa ahadi zake
Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Manyara wamemshauri rais mpya wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dokta JohnMagufuli kutofuata mashinikizo ya baadhi ya watu ya kumtaka atekeleza ahadi zake kwa pupa.
Wamesema kuwa shinikizo la kutaka atekeleze ahadi zake haraka haraka inaweza kusabisha baadhi ya ahadi hizo kutekelezwa kwa ubora usiostahili.
Wakazi hao wa mkoa wa Manyara wametoa kauli hiyo leo mara baada ya dokta John Magufuli kuapishwa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Askofu mkuu wa...
9 years ago
StarTV13 Nov
Wakazi Bariadi waaswa kuvumilia viongozi waliowachagua katika kutekeleza ahadi zao.
Wakazi wa wilayani Bariadi mkoani Simiyu waaswa kuwa na subira katika utekelezaji wa ahadi za viongozi waliochaguliwa kwa sababu haziwezi kutekelezwa kwa wakati mmoja bali kwa mpangilio maalumu na kuzingatia vipaumbele vya wananchi.
Ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilayani Bariadi Bi. Juliana Mahongo katika kikao wadau wa maendeleo kilicholenga kumpongeza Rais John Pombe Magufuri kwa ushindi.
Bi. Mahongo amesema anaimani kubwa na viongozi waliochaguliwa kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Silinde ataka wakulima kufidiwa
MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema), ameitaka serikali kuwafidia wakulima wa Mbozi ambao mazao yao yaliungua kutokana na kutumia mbolea feki. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Silinde alisema...
10 years ago
Habarileo03 May
Silinde akiri kukalia fedha za mfuko wa jimbo
MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema) anadaiwa kuzuia kutumika fedha zaidi ya Sh milioni 46 za Mfuko wa jimbo hilo kwa shughuli za maendeleo, ili kuzitumia kwenye kampeni za ubunge.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:David Silinde
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qxyOoZzfo2Y/VacEmkEFG5I/AAAAAAAATNk/9qCDQqqTY0U/s72-c/FB_IMG_1437008475701.jpg)
MAPOKEZI YA MBUNGE WA CHADEMA MBOZI MAGHARIBI MH DAVID SILINDE YAVUNJA REKODI
![](http://3.bp.blogspot.com/-qxyOoZzfo2Y/VacEmkEFG5I/AAAAAAAATNk/9qCDQqqTY0U/s640/FB_IMG_1437008475701.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HhQvIb0n_EQ/VacEmoP3q-I/AAAAAAAATNc/2tfb7yj8Pjk/s640/FB_IMG_1437008483548.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nf17sM_Vi7o/VacEmg5IPxI/AAAAAAAATNg/VxQcDEccQ5U/s640/FB_IMG_1437008493261.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B77rbTdqdOU/VacEm5H3vhI/AAAAAAAATNo/50qk7bOHW9A/s640/FB_IMG_1437008511067.jpg)