Silinde akiri kukalia fedha za mfuko wa jimbo
MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema) anadaiwa kuzuia kutumika fedha zaidi ya Sh milioni 46 za Mfuko wa jimbo hilo kwa shughuli za maendeleo, ili kuzitumia kwenye kampeni za ubunge.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog20 Jul
10 years ago
VijimamboWizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri wa Fedha akiri hali ngumu
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Waziri wa Fedha akiri udhaifu Bandari
10 years ago
Habarileo31 Mar
CAG kuchunguza mfuko wa jimbo
WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Omar Yussuf Mzee amemwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuchunguza matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo, baada ya kubainika kukiukwa kwa sheria na kanuni za matumizi ya fedha hizo.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Mbunge wa Bahi katika kashfa ya Mfuko wa Jimbo
11 years ago
Mwananchi09 May
Halmashauri sita zakiuka masharti ya Mfuko wa Jimbo
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Fedha za mfuko wa barabara wapewe wakandarasi wazawa
NA JUMBE USMAILLY, MANYONI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewaagiza wahandisi, mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha fedha zote zilizotolewa na Mfuko wa Barabara, kazi zake zote zitolewe kwa wakandarasi wazalendo.
Dk. Magufuli alitoa agizo hilo mjini Manyoni mkoani Singida wakati akiweka jiwe la msingi la barabara ya mjini Manyoni yenye urefu wa kilomita 2.8 inayotengenezwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya sh. bilioni...
10 years ago
Vijimambo01 Dec
MKE AKIRI MUMEWE BWANA BALENGA KUMUUZIA NYUMBA MFANYABIASHARA HANS MACHA KUTOKANA NA KULEMEWA NA MADENI YA MAMILIONI YA FEDHA ALIZOKOPA
![](https://2.bp.blogspot.com/-OXrYJ5VzmsA/VHyR7L4bomI/AAAAAAAAr3Y/AzHwj8wPwKc/s1600/MACHA%2BHANS.jpg)
MKE wa mlalamikaji katika kesi ya kughushi dhidi ya Mfanyabiashara Hans Macha (pichani), amedai mahakamani kwamba mumewe anadaiwa fedha nyingi na mshtakiwa, alishindwa kulipa akaamua kumuuzia nyumba.
Mke huyo Nurya Ahmad (34),ambaye ni shahidi wa upande wa utetezi, amedai hayo leo Desemba Mosi, katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu,Dar es Salaam, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, kwa kuongozwa na wakili wa utetezi, Deo Ringia.
Nurya amedai mahakamani hapo kwamba...