CAG kuchunguza mfuko wa jimbo
WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Omar Yussuf Mzee amemwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuchunguza matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo, baada ya kubainika kukiukwa kwa sheria na kanuni za matumizi ya fedha hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Nov
CAG amaliza kuchunguza Sh bilioni 10 za safari
OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imemaliza kazi ya ukaguzi maalumu katika matumizi ya mabilioni ya shilingi katika Mamlaka ya Bandari (TPA). Akizungumza Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe alisema CAG amemaliza kazi yake na kukabidhi ripoti.
10 years ago
Habarileo03 May
Silinde akiri kukalia fedha za mfuko wa jimbo
MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema) anadaiwa kuzuia kutumika fedha zaidi ya Sh milioni 46 za Mfuko wa jimbo hilo kwa shughuli za maendeleo, ili kuzitumia kwenye kampeni za ubunge.
11 years ago
Mwananchi09 May
Halmashauri sita zakiuka masharti ya Mfuko wa Jimbo
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Mbunge wa Bahi katika kashfa ya Mfuko wa Jimbo
10 years ago
MichuziMfuko wa Pensheni wa PSPF Wakabidhi Msaada kwa Wananchi wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar.
5 years ago
CCM BlogTAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF) KWA MWAKA 2015/16 — 2018/19
10 years ago
MichuziMFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI WATOA MAGODORO NA VITANDA KITUO CHA AFYA NGURUKA
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii, Kigoma
Mfuko wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini, Mhe. David Kafulila umetoa magodoro 20 na vitanda 20 kwa kituo cha afya cha Nguruka ili kuboresha huduma ya afya kituoni hapo hasa kwa akina mama wajawazito.
Mganga Mkuu wa kituo cha afya Nguruka, Dk. Stanford Chamgeni alisema kuwa kituo hicho...
11 years ago
Dewji Blog20 Jul
9 years ago
GPLMFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL WAZINDUA MFUKO MPYA