CAG amaliza kuchunguza Sh bilioni 10 za safari
OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imemaliza kazi ya ukaguzi maalumu katika matumizi ya mabilioni ya shilingi katika Mamlaka ya Bandari (TPA). Akizungumza Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe alisema CAG amemaliza kazi yake na kukabidhi ripoti.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Mar
CAG kuchunguza mfuko wa jimbo
WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Omar Yussuf Mzee amemwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuchunguza matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo, baada ya kubainika kukiukwa kwa sheria na kanuni za matumizi ya fedha hizo.
11 years ago
Mwananchi12 May
CAG Utouh achunguza Sh200 bilioni za IPTL
5 years ago
MichuziWAZIRI MPINA ASHTUKIA UPIGAJI WA BILIONI 2.6 UJENZI MAABARA YA UVUVI, AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA NDANI YA SIKU 7
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata maelezo ya namna ya shughuli yaujenziwa mradi wa jengo la Maabara ya Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania(TAFIRI) Kituo cha Dar es Salaam kutoka kwa Mkandarasi wa Kampuni yaPetra Constuction co. Limited, NicholausMlayi alipotembelea mradi huo Kunduchi Dar es Salaam.
Waziriwa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akipata ufafanuzi kutoka kwa Mshauri Mwelekezi wa Kampuni ya Y&P Architect inayosimamia Mradi wa Ujenzi wa Maabara ya
Taasisi ya Utafiti wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-enUrbINwEqA/VRK7cC3-dHI/AAAAAAAHNIQ/QL9EFp_U5GI/s72-c/unnamedmm.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA BAR 5 ZILIZOINGIA FAINALI SAFARI NYAMA CHOMA 2015 “DAR ONE"
![](http://2.bp.blogspot.com/-enUrbINwEqA/VRK7cC3-dHI/AAAAAAAHNIQ/QL9EFp_U5GI/s1600/unnamedmm.jpg)
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s72-c/DSCF0081.jpg)
SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s1600/DSCF0081.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D0YseoIFta0/VFICIJz6vwI/AAAAAAAGuJo/g6I5j5mxTVU/s1600/DSCF0093.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u1qQby7lzpg/VKxglk947LI/AAAAAAAG7wg/MDI0-uKW3cI/s72-c/unnamedn1.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI UPATIKANAJI WA FOMU ZA PROGAMU YA SAFARI LAGER WEZESHWA MSIMU IV
Fomu hizo zichukuliwe, zijazwe na kurejeshwa kwenye vituo...
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
UN kuchunguza ghasia CAR