Fedha za mfuko wa barabara wapewe wakandarasi wazawa
NA JUMBE USMAILLY, MANYONI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewaagiza wahandisi, mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha fedha zote zilizotolewa na Mfuko wa Barabara, kazi zake zote zitolewe kwa wakandarasi wazalendo.
Dk. Magufuli alitoa agizo hilo mjini Manyoni mkoani Singida wakati akiweka jiwe la msingi la barabara ya mjini Manyoni yenye urefu wa kilomita 2.8 inayotengenezwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya sh. bilioni...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Wabunge wapewe magari badala ya fedha
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Wakandarasi barabara waidai Serikali bilioni 731/-
SERIKALI inadaiwa jumla ya sh bilioni 731 na wakandarasi mbalimbali ambao wanatekeleza miradi mbalimbali ya barabara nchini. Hayo, yalibinishwa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0XgZW5wgi8Y/XmqMv0WoAEI/AAAAAAAC8XU/0XotaZQUMEoxkEAxkOcojLrW8w-7TdNtgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.CR2.jpg)
Wakandarasi wanawake wapigwa msasa ujenzi wa barabara
![](https://1.bp.blogspot.com/-0XgZW5wgi8Y/XmqMv0WoAEI/AAAAAAAC8XU/0XotaZQUMEoxkEAxkOcojLrW8w-7TdNtgCLcBGAsYHQ/s640/2.CR2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uIAOgY-r6c4/XmqMvsKGoGI/AAAAAAAC8XM/flqpMxBazWMuj64o9l2U6LCmhPfCiUbDACLcBGAsYHQ/s640/3.CR2.jpg)
9 years ago
MichuziDK.MAGUFULI AKIWA NA WAKANDARASI KATIKA BARABARA YA TUNDURU-MANGAKA
9 years ago
MillardAyo17 Dec
DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!!
Ile kauli ya Rais kuhakikisha anapunguza matumizi yasiyo yalazima kwa Serikali imeendelea kuchukua headlines, pia tumeshuhudia baadhi ya viongozi wakisimamishwa kazi kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma Leo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amewageukia wakandarasi wa barabara za Manispaa yake ambao imeonekana wametumia kiasi cha fedha za umma kinyume na makubaliano. […]
The post DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!! appeared first on...
10 years ago
VijimamboWizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.
5 years ago
MichuziWAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA
10 years ago
Vijimambo19 Feb
BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO
10 years ago
MichuziBODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA