Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fedha za mfuko wa barabara wapewe wakandarasi wazawa


NA JUMBE USMAILLY, MANYONI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewaagiza wahandisi, mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha fedha zote zilizotolewa na Mfuko wa Barabara, kazi zake zote zitolewe kwa wakandarasi wazalendo.
Dk. Magufuli alitoa agizo hilo mjini Manyoni mkoani Singida wakati akiweka jiwe la msingi la barabara ya mjini Manyoni yenye urefu wa kilomita 2.8 inayotengenezwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya sh. bilioni...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wabunge wapewe magari badala ya fedha

Gazeti hili jana lilikuwa na habari iliyopewa uzito mkubwa kwenye ukurasa wa kwanza kwamba ‘Wabunge wagomea Sh90milioni za ‘mashangingi’, fedha ambazo wanatakiwa kukopeshwa kwa ajili ya kununulia magari aina ya Toyota Land Cruiser (hardtop), ambayo ni vitendea kazi vyao. Wabunge hutakiwa kulipa nusu ya fedha hizo wakati nyingine ni mchango wa Serikali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakandarasi barabara waidai Serikali bilioni 731/-

SERIKALI inadaiwa jumla ya sh bilioni 731 na wakandarasi mbalimbali ambao wanatekeleza miradi mbalimbali ya barabara nchini. Hayo, yalibinishwa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...

 

5 years ago

Michuzi

Wakandarasi wanawake wapigwa msasa ujenzi wa barabara


 Mkufunzi wa chuo cha Teknolojia stahiki ya nguvu kazi ATTI  mbeya Richard Kansimba  akiwafundisha kwa vitendo wanawake waliokuwa kwenye mafunzo ya ujenzi na ukarabati wa barabara yaliyofanyika mkoani Morogoro namna ya kufanya vipimo vya barabara na kuweka usawa ili kuepukana na matuta yasiyo yalazima barabarani. Washiriki wa mafunzo ya ujenzi na ukarabati wa barabara wakijifunza namna ya kutumia kipimo cha mkanda (Tap Measure) kupima usawa wa barabara wakiwa katika eneo la chuo cha ujenzi...

 

9 years ago

Michuzi

DK.MAGUFULI AKIWA NA WAKANDARASI KATIKA BARABARA YA TUNDURU-MANGAKA

Maelezo ya Picha zikimuonesha Mgombea Urais Kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Mtambo maalum unao changanya Saruji, Kokoto na Udongo(Pulverizer or Rotary Mixer) katika ujenzi wa Barabara ya Kutoka Tunduru kwenda Mangaka katika eneo la Kilimasera-Matemanga km 68.2. 

 

9 years ago

MillardAyo

DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!!

Ile kauli ya Rais kuhakikisha anapunguza matumizi yasiyo yalazima kwa Serikali imeendelea kuchukua headlines, pia tumeshuhudia baadhi ya viongozi wakisimamishwa kazi kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma Leo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amewageukia wakandarasi wa barabara za Manispaa yake ambao imeonekana wametumia kiasi cha fedha za umma kinyume na makubaliano. […]

The post DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!! appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

Wizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.

Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue naye alikuwepo katika ujumbe huo.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Mkuu wa mambo ya uchumi wa Mfuko wa changamoto za milenia. Wakiwa pamoja na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Saidi Ngosha Magonya.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue. Wakishuhudiwa na Bw. Abbas Abeid Missana...

 

5 years ago

Michuzi

WAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA

KAIMU Mkurugenzi wa Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Amos Maganga kushoto akizungumza wakati wa ziara  kufanya tathimini kuona wakandarasi wamefikia hatua gani mpaka sasa wametembelea kwenye kazi walianzia Mkoani Manyara kijiji cha Terati na wapo mkoa wa Tanga katika wilaya ya Mkinga kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya REA Tanzania Julius Kalolo .Mbunge wa Jimbo la Mkinga (CCM) Dastani Kitandula ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Madini na...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Mhe. Chiku Gallawa wakati akifungua Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo kwa mwaka 2015 mjini Dodoma Feb. 17.Meneja wa Wakala wa Barabara-TANROADS Mkoa wa Dodoma mhandisi Leonard Chimagu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya barabara inayotekelezwa na TANROADS...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza mwenyekiti wa Bodi Mhe. Chiku Gallawa wakati akifungua Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo kwa mwaka 2015 mjini Dodoma Feb. 17.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani