Wabunge wapewe magari badala ya fedha
Gazeti hili jana lilikuwa na habari iliyopewa uzito mkubwa kwenye ukurasa wa kwanza kwamba ‘Wabunge wagomea Sh90milioni za ‘mashangingi’, fedha ambazo wanatakiwa kukopeshwa kwa ajili ya kununulia magari aina ya Toyota Land Cruiser (hardtop), ambayo ni vitendea kazi vyao. Wabunge hutakiwa kulipa nusu ya fedha hizo wakati nyingine ni mchango wa Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Wabunge kutaka wapewe ulinzi ni ubinafsi uliokithiri!
HAPANA! Wanasema ni ulevi wa madaraka. Lakini nini kimesababisha ulevi huu jamani? Nasikia sasa kuna mbunge keshaona ya ulimwengu huu aliyonayo hayamtoshi sasa anataka apewe ulinzi. Ebo! Kwani yamekuwa hayo sasa kwa wabunge...
11 years ago
Habarileo15 Apr
Mwandosya- Posho ya wabunge wapewe waathirika wa mafuriko
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Profesa Mark Mwandosya ameomba Bunge Maalumu la Katiba, kukata posho ya siku moja ya wajumbe wote wa Bunge hilo ili kuwapa pole waathirika wa mafuriko nchini, ikiwa ni pamoja na viongozi waliopata ajali ya helikopta.
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Fedha za mfuko wa barabara wapewe wakandarasi wazawa
NA JUMBE USMAILLY, MANYONI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewaagiza wahandisi, mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha fedha zote zilizotolewa na Mfuko wa Barabara, kazi zake zote zitolewe kwa wakandarasi wazalendo.
Dk. Magufuli alitoa agizo hilo mjini Manyoni mkoani Singida wakati akiweka jiwe la msingi la barabara ya mjini Manyoni yenye urefu wa kilomita 2.8 inayotengenezwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya sh. bilioni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
10 years ago
Habarileo02 Jun
Wabunge walia na fedha za wanafunzi
WABUNGE waiomba serikali kuongeza fedha za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, kurejesha Idara ya Ukaguzi na kulipa malimbikizo yote wanayodaiwa na walimu.
11 years ago
Mwananchi27 May
Kuomba fedha LAPF: Wabunge waumbuana
11 years ago
MichuziMTEMVU AKABIDHI MIKOPO YA MAGARI, BAJAJI, PIKIPIKI NA FEDHA TASLIMU KWA VIKOBA TEMEKE
11 years ago
Habarileo27 May
‘Hakuna tatizo wabunge kuomba fedha LAPF’
IMEELEZWA kuwa suala la wabunge na mawaziri kuomba fedha kwa ajili ya maendeleo katika majimbo yao kwenye mifuko ya jamii na taasisi nyingine siyo baya, kwani wana fungu maalumu kwa ajili hiyo. Pia imeelezwa kuwa mbaya ni kukopa katika mifuko ya jamii na kushindwa kulipa, huku kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe akitajwa kukopa na sasa ana hati ya kukamatwa kutokana na tukio hilo.
10 years ago
Mwananchi26 May
Wabunge wahoji wizara kupewa fedha kiduchu
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10