MTEMVU AKABIDHI MIKOPO YA MAGARI, BAJAJI, PIKIPIKI NA FEDHA TASLIMU KWA VIKOBA TEMEKE
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akimkabidhi ufunguo wa gari aina ya Noah katibu Mkuu wa Saccos ya Tujikwamue ya Chang'ombe, Dar es Salaam, Itika Mwankenja katika hafla ya Taasisi ya PFT ya kukabidhi mikopo ya magari, bajaji, pikipiki na fedha kwa vicoba mbalimbali, Temeke, Dar es Salaam juzi. Mtemvu ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Itika akiangalia wakati Mtemvu akiliwasha gari hilo.
Mtemvu akikabidhi mkopo wa bajaji kwa moja ya wana vicoba
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
NMB: Watanzania changamkieni mikopo ya pikipiki, bajaji
BENKI ya NMB imewataka Watanzania kuchangamkia mkopo wa pikipiki na bajaji, ili kupata nafuu ya usafiri na kuweza kujiajiri kwa kutumia usafiri huo. Ofisa Mikopo wa benki hiyo, Donatila Wapalila,...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Magari yaua dereva wa bajaji, pikipiki
DEREVA wa bajaj, Frank Satrun (26), mkazi wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e5sA_VcXjHE/Ux9blGGkN9I/AAAAAAAFS-A/Rd2DwAlyix0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LJzf6SHcIf8/UxOUclREtwI/AAAAAAAFQnY/WoJ0v18VwP8/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_tfLfqiN7B8/U4TvbqbH5wI/AAAAAAAFlnM/VQ6r-At-3QY/s72-c/p1.jpg)
walemavu watatu Ruangwa wakabidhiwa pikipiki aina ya bajaji toka kwa JK
11 years ago
Michuzi02 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSHISPd2O7E/VXkwl7gFtQI/AAAAAAAHemY/rFIt7Co7-qk/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Makalla akabidhi pikipiki 5 kwa kata mpya Mvomero
Akikambidhi pikipiki hizo, Mbunge wa Mvomero alimueleza mwenyekiti wa wilaya ya Mvomero ndg Abdalah Mtiga kuwa msaada huo ni muendelezo wa kukisaidia Chama wilaya ya Mvomero kwani awali alisaidia pikipiki 23 na hizo 5 inafanya jumla ya pikipiki alizosaidia Chama kuwa 28 zenye...
10 years ago
Michuzi31 Aug
MTEMVU: CCM ITAUPUKUTISHA UPINZANI TEMEKE UCHAGUZI WA MITAA, SIYO KWA NGUVU ILA KWA MATUNDA YA UTEKELEZAJI ILANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g67zKuZwotE/VAKlr92zCHI/AAAAAAAApp4/LNcojRzwvo8/s1600/1.%2BMtemvu%2Bakihutubia%2Bkwenye%2BUwanja%2Bwa%2Bshule%2Bya%2BSokoine%2C%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bhuo.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-LwBjAKG_LHQ/VAKmDo9gGeI/AAAAAAAApqg/ivJzpyp_A-k/s1600/2.%2BMtemvu%2Bakishangiliwa%2Bna%2Bvijana%2Bwakati%2Bakihutubia.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-7JmzKDSd3Vc/VAKmI1VKgrI/AAAAAAAApqo/t7CMqMhoCpg/s1600/3.%2BMtemvu%2Bakimpa%2Bkadi%2Bya%2BUwanachama%2Bwa%2BUWT%2BMaridha%2BRajabu%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bhuo%2C%2Bwanachama%2Bwapya%2B20%2Bwa%2Bjumuia%2Bhiyo%2Bwalipewa%2Bkadi.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-66B-DJCSJWM/VAKmNkCYL4I/AAAAAAAApqw/Lzl5KEQQ6-Y/s1600/4.%2BMtemvu%2Bakimtuza%2BOmari%2BTego%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bhuo.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7wxlglIWGhE/U3RvO6dtCYI/AAAAAAAAjkI/eqlYfiqV_Bw/s72-c/unnamed.jpg)
Kamata kamata ya bodaboda na bajaji katikati ya jiji la Dar na utaratibu kulipia kibali maalum kwa pikipiki binafsi
Halmashauri ya jiji sasa imeanza kuwatoza watu binafsi na makampuni yanayotumia chombo hicho shilingi 500 kwa siku kila bodaboda inapoingia mjini wakidai ni tozo ya...