Kamata kamata ya bodaboda na bajaji katikati ya jiji la Dar na utaratibu kulipia kibali maalum kwa pikipiki binafsi
![](http://1.bp.blogspot.com/-7wxlglIWGhE/U3RvO6dtCYI/AAAAAAAAjkI/eqlYfiqV_Bw/s72-c/unnamed.jpg)
ZOEZI la kupiga marufuku bodaboda na bajaji zinazofanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam limegeuka biashara kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hasa kwa watumiaji wa pikipiki hizo kwa ajili ya usafiri binafsi wa kawaida kwenda na kurudi kazini, pamoja na makampuni yanayotumia chombo hicho cha usafiri.
Halmashauri ya jiji sasa imeanza kuwatoza watu binafsi na makampuni yanayotumia chombo hicho shilingi 500 kwa siku kila bodaboda inapoingia mjini wakidai ni tozo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 May
Kamata kamata bodaboda na bajaji mjini, Jiji lageuza biashara..!
Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukuta tangazo lililositisha upokeaji wa tozo za kuingia mjini na vibali.
Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki.
ZOEZI la kupiga marufuku bodaboda na bajaji zinazofanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s72-c/IMG_5616.jpg)
WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s1600/IMG_5616.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana Alex Msama amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea kushuka...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Bodaboda watakaofika katikati ya jiji kunyang’anywa leseni
WAENDESHA bodaboda na 'bajaji'ambao watakiuka agizo la kutoingia katika Eneo la Katikati ya Jiji (CBD), watanyang'anywa leseni zao za biashara, kwa kukiuka sheria. Hayo yameelezwa na Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya baadhi ya madereva wanaokiuka agizo hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z6OBZ9b5bQY/VYh2f2nG1bI/AAAAAAAHimg/RnmFIj7bisY/s72-c/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
Mhe Vicky Kamata atoa baiskeli 500 kwa wanawake wa mkoa wa Geita
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6OBZ9b5bQY/VYh2f2nG1bI/AAAAAAAHimg/RnmFIj7bisY/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XamNxK7gcio/VYh2hkiwgRI/AAAAAAAHimo/x_czsMwWfMw/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6fB9pY8jgJ0/VYh2kqqK4LI/AAAAAAAHimw/CIucTr_05p0/s1600/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gZxPy-zzA2Q/VYh2ok0xoqI/AAAAAAAHim4/4x93rj2Wj04/s1600/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/iaY6lIqlQu0/default.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Mar
Bodaboda marufuku katikati ya jijin Dar
MADEREVA wa bodaboda mkoani Dar es Salaam wameendelea kubanwa kuingia katikati ya jiji na sasa wameelekezwa mipaka yao na maeneo wanayotakiwa kuishia.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Z26IzfpmPHI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s72-c/DSCF6085.jpg)
MNARA WA SAA KATIKATI YA JIJI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-2MTK3OxEvKY/VQhz8Xjab6I/AAAAAAAAq2o/7CzJBaI-2ng/s1600/DSCF6085.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VEptO64JEM0/VQhz8q3zFRI/AAAAAAAAq2s/0KwZRHkwEfg/s1600/DSCF6085M.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u1kfEQfiY5Q/U57ggeze-2I/AAAAAAAFrAM/oRHMu_E54Gs/s72-c/2.jpg)