Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamata kamata bodaboda na bajaji mjini, Jiji lageuza biashara..!

Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukut

Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukuta tangazo lililositisha upokeaji wa tozo za kuingia mjini na vibali.

Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki

Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki.

ZOEZI la kupiga marufuku bodaboda na bajaji zinazofanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kamata kamata ya bodaboda na bajaji katikati ya jiji la Dar na utaratibu kulipia kibali maalum kwa pikipiki binafsi

ZOEZI la kupiga marufuku bodaboda na bajaji zinazofanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam limegeuka biashara kwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hasa kwa watumiaji wa pikipiki hizo kwa ajili ya usafiri binafsi wa kawaida kwenda na kurudi kazini, pamoja na makampuni yanayotumia chombo hicho cha usafiri.
Halmashauri ya jiji sasa imeanza kuwatoza watu binafsi na makampuni yanayotumia chombo hicho shilingi 500 kwa siku kila bodaboda inapoingia mjini wakidai ni tozo ya...

 

11 years ago

Michuzi

WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI



 Kampuni ya Msama Promotions Ltd,kwa kushirikiana na Wizara ya habari vijana,utamaduni na michezo  imetangaza neema kwa wasanii kuanza zoezi la kuwakamata watu wanaouza nakala feki  za wasanii hapa nchini.
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana  Alex Msama  amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka  sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea  kushuka...

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA KAMATA FURSA, JITATHIMINI, JIAMINI, JIONGEZE YAFANYIKA MJINI DODOMA

Mrisho Mpoto akimkabidhi kifaa cha kupimia magari mmoja wa wakazi wa Dodoma Beatrice Chilewa (kulia), muda mfupi baada ya kujishindia moja ya swali lililoulizwa na msemaji wa GS1, Pius Mikongoti, ambalo lilikuwa likimtaka ataje nchi tatu za Kusini mwa Jangwa la Sahara zinazotoa Barcode na namba za utambulisho wa nchi hizo, wa kwanza kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni ya Josekazi Auto Garage ambaye ndiye mmiliki wa kifaa...

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA KAMATA FURSA,JITATHIMINI,JIAMINI,JIONGEZE YAFANYIKA MJINI DODOMA

Mrisho Mpoto akimkabidhi kifaa cha kupimia magari mmoja wa wakazi wa Dodoma Beatrice Chilewa (kulia), muda mfupi baada ya kujishindia moja ya swali lililoulizwa na msemaji wa GS1, Pius Mikongoti, ambalo lilikuwa likimtaka ataje nchi tatu za Kusini mwa Jangwa la Sahara zinazotoa Barcode na namba za utambulisho wa nchi hizo, wa kwanza kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni ya Josekazi Auto Garage ambaye ndiye mmiliki wa kifaa hicho cha kupimia magari.
MKURUGENZI wa Vipindi na Uzalishaji...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji

DSC_0204

Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.

DSC_0232

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na  Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Vicky Kamata adakwa polisi

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata

MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.

Chanzo ncha kuaminika kutoka mjini Dodoma kiliambia MTANZANIA kuwa kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui.

Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kamata, shika nawe nyuma!

UKIWAANGALIA Watanzania wa leo, fikra, nyuso na hisia zao, utaona wazi kuwa iko kiu ya kutaka mabadiliko. Wamechoka na mazoea waliyokuwa nayo, ambayo yanaendelea kuwafanya wawe dhalili.

Kila mtu anatamani mambo yaachwe kuwa na hali ilivyo sasa, anatamani yachukue mkondo mpya na njia mbadala inayoweza kuwa na matumaini. Katika hali hii, unatarajia kuwa wao ndiyo wawe chemchem na chachu ya mbadiliko.

Bahati mbaya kwetu ni kwamba, tunataka na kutamani mabadiliko lakini hatuko tayari...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake CCM wamfariji Kamata

Wabunge wanawake wenye muda mrefu bungeni pamoja na mke wa waziri mkuu, Mama Tunu Pinda juzi walimuandalia sherehe ya kumfariji mbunge wa viti maalum (CCM), Vicky Kamata baada ya harusi aliyotarajia kufunga wiki iliyopita, kukwama.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Sijavuruga ndoa ya Vicky Kamata’

Suala la kukwama kufungwa kwa ndoa ya Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata limechukua sura mpya baada ya mzazi mwenza wa mchumba wa mbunge huyo, kukanusha taarifa kwamba alikwenda Dodoma kwa lengo la kuomba msaada kwa viongozi wa Bunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani