Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SEMINA YA KAMATA FURSA, JITATHIMINI, JIAMINI, JIONGEZE YAFANYIKA MJINI DODOMA

Mrisho Mpoto akimkabidhi kifaa cha kupimia magari mmoja wa wakazi wa Dodoma Beatrice Chilewa (kulia), muda mfupi baada ya kujishindia moja ya swali lililoulizwa na msemaji wa GS1, Pius Mikongoti, ambalo lilikuwa likimtaka ataje nchi tatu za Kusini mwa Jangwa la Sahara zinazotoa Barcode na namba za utambulisho wa nchi hizo, wa kwanza kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni ya Josekazi Auto Garage ambaye ndiye mmiliki wa kifaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA KAMATA FURSA,JITATHIMINI,JIAMINI,JIONGEZE YAFANYIKA MJINI DODOMA

Mrisho Mpoto akimkabidhi kifaa cha kupimia magari mmoja wa wakazi wa Dodoma Beatrice Chilewa (kulia), muda mfupi baada ya kujishindia moja ya swali lililoulizwa na msemaji wa GS1, Pius Mikongoti, ambalo lilikuwa likimtaka ataje nchi tatu za Kusini mwa Jangwa la Sahara zinazotoa Barcode na namba za utambulisho wa nchi hizo, wa kwanza kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa kampuni ya Josekazi Auto Garage ambaye ndiye mmiliki wa kifaa hicho cha kupimia magari.
MKURUGENZI wa Vipindi na Uzalishaji...

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA FURSA 2014 ,JITATHIMINI,JIAMINI,JIONGEZE YAFANYIKA MJINI SINGIDA LEO

 Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akifafanua jambo kwa washiriki (hawapo pichani),wa semina ya Fursa iliyofanyika mapema leo ndani ya ukumbi wa hoteli ya KBH,iliyoko nje kidogo ya mji wa Singida,ambapo watu mbalimbali wakiwemo wanavyuo walishiriki.  Mmoja wa washiriki wa Semina ya Fursa akiuliza swali kwa Meza kuu ya watoa mada kuhusiana na mradi wa ufugaji wa kuku. Mwakilishi kutoka Shirika la Taifa la hifadhi ya Jamii (NSSF),Bwa.Ally Mkulemba...

 

10 years ago

CloudsFM

10 years ago

GPL

SEMINA YA FURSA 2014 YAFANYIKA MJINI SINGIDA


 Baadhi ya Washiriki wa Semina ya Kamata Fursa, Jitathimini, Jiamini Jiongeze wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumza ndani  ukumbi wa hoteli ya KBH, ilioko nje kidogo ya mji wa Singida.
Baadhi ya watoa mada mbalimbali katika semina hiyo wakiwa meza kuu.…

 

10 years ago

Vijimambo

Semina ya Fursa 2014 yafanyika Mjini Singida leo

 Baadhi ya Washiriki wa Semina ya Kamata Fursa,Jitathimini,Jiamini,Jiongeze wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumza ndani ya moja ya ukumbi wa hoteli ya KBH,ilioko nje kidogo ya mji wa Singida.Semina ya Fursa 2014 inaandaliwa na Waandaaji wa Tamasha la Fiesta 2014 linalotarajiwa kufanyika leo usiku ndani ya uwanja wa Namfua mjini Singida.  Baadhi ya watoa mada mbalimbali katika semina hiyo wakiwa meza kuu Baadhi ya Vijana walioitumia Fursa ya kutengeneza fulana za tamasha la Fiesta baada ya...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF FURSA SEMINA YASHAMIRI SIKU YA IDD EL HAJJ MJINI DODOMA

Ikiwa ni muendelezo wa Semina za Fursa zinazoendelea katika mikoa mbalimbali, licha ya kuwa ni siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj tarehe 05/10/2014, Semina ya Fursa yashamiri mjini Dodoma na kuvutia umati mkubwa wa watu.


Umati huo ulivutiwa sana na huduma na mafao yatolewayo na NSSF kama vile Matibabu bure kwa mwanachama na wategemezi wake na mikopo kupitia Saccos.


NSSF iliwasihi watu wajiunge na mfuko huu ili waweze jipatia Fursa za kuboresha maisha yao.


Semina ya Fursa Dodoma ilirushwa Live na...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA MBEYA WAFURIKA KWENYE SEMINA YA KAMATA FURSA

Msanii Mrisho Mpoto akiongea na wakazi wa Mbeya waliojitokeza kwenye Semina ya Kamata Fursa mapema leo ndani ya Ukumbi wa Benjamini Mkapa. Msemaji kutoka GS One, Pius Mkongoti akiongea na wakazi wa Mbeya waliokuwa wamefurika kwenye Semina ka Kamata Fursa, tayari kwa kuwapa mbinu za kutomia huduma ya Bar code. Msanii wa Muziki wa Bongo…

 

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA FURSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Dkt. Frank Forka ambaye ni mkurugenzi PGCEDC Africa Trade Office akielezea njia za kufuata kwa mwekezaji kutoka Tanzania anapokuja kutafuta au kufanya mazungumuzo na wawekezaji wa Kimarekani kwa ajili ya kuingia nao ubia kwa ajili ya kuwekeza Tanzania. Dkt. Frank Furka alisema jambo la kwanza muhimu ni kujifunza utamaduni wa wafanyabishara wa Kimarekani hasa inapokuja kwenye swala la muda, Mambo mengine ya kuzingatia ni ufafanuzi wa kina na uwazi wa fulsa unayoitafutia mwekezaji...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kamata kamata bodaboda na bajaji mjini, Jiji lageuza biashara..!

Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukut

Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukuta tangazo lililositisha upokeaji wa tozo za kuingia mjini na vibali.

Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki

Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki.

ZOEZI la kupiga marufuku bodaboda na bajaji zinazofanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani