Kamata, shika nawe nyuma!
UKIWAANGALIA Watanzania wa leo, fikra, nyuso na hisia zao, utaona wazi kuwa iko kiu ya kutaka mabadiliko. Wamechoka na mazoea waliyokuwa nayo, ambayo yanaendelea kuwafanya wawe dhalili.
Kila mtu anatamani mambo yaachwe kuwa na hali ilivyo sasa, anatamani yachukue mkondo mpya na njia mbadala inayoweza kuwa na matumaini. Katika hali hii, unatarajia kuwa wao ndiyo wawe chemchem na chachu ya mbadiliko.
Bahati mbaya kwetu ni kwamba, tunataka na kutamani mabadiliko lakini hatuko tayari...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s72-c/IMG_5616.jpg)
WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s1600/IMG_5616.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana Alex Msama amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea kushuka...
11 years ago
Dewji Blog15 May
Kamata kamata bodaboda na bajaji mjini, Jiji lageuza biashara..!
Baadhi ya madereva wa pikipiki wanaozitumia kama vyombo vya usafiri binafsi kwenda na kurudi kazini wakihoji juu ya mkanganyiko huo katika ofisi za Jiji la Dar es Salaam, juzi. Hata hivyo hawakupata majibu zaidi ya kukuta tangazo lililositisha upokeaji wa tozo za kuingia mjini na vibali.
Tangazo lililobandikwa na Jiji kusitisha zoezi la ukusanyaji wa tozovibali vya kuingia mjini na pikipiki.
ZOEZI la kupiga marufuku bodaboda na bajaji zinazofanya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7wxlglIWGhE/U3RvO6dtCYI/AAAAAAAAjkI/eqlYfiqV_Bw/s72-c/unnamed.jpg)
Kamata kamata ya bodaboda na bajaji katikati ya jiji la Dar na utaratibu kulipia kibali maalum kwa pikipiki binafsi
Halmashauri ya jiji sasa imeanza kuwatoza watu binafsi na makampuni yanayotumia chombo hicho shilingi 500 kwa siku kila bodaboda inapoingia mjini wakidai ni tozo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Mp-bn5JoC-c/VTzNKmQgs4I/AAAAAAAHTYc/RulKhq29u-s/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
WASHINDI WA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM WAPATIKANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljyx-zItX3usl6WqHm58KK9ovD9OUcUXj2QC-uJuZ7KJN*qysecg-lA5sFdlAjNqRp2DcQkk9EVKFlEW0ug1Uk7A/ndinga1.jpg?width=650)
SHIKA NDINGA WILAYA YA KINONDONI YAFANYIKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PMEoet4sL4M/VSBLVUx-8KI/AAAAAAAHPUQ/XxxELAM2B1M/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
EFM yaja na Promosheni ya Shika Ndinga
![](http://1.bp.blogspot.com/-PMEoet4sL4M/VSBLVUx-8KI/AAAAAAAHPUQ/XxxELAM2B1M/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
Washiriki wa shindano kwa Wanawake walikua 21 na wanaume 20 ambapo kati ya hao ni Wanawake Watano na Wanaume watano waliofanikiwa kuendelea mbele katika raundi nyingine ambapo...
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Ni shika, nikushike kati ya CCM, Chadema na ACT
WAKATI wakazi wa Jimbo la Arusha Mjini wakisubiri kwa hamu ufunguzi wa pazia la kampeni za Uchagu
Paul Sarwatt
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKPlXJ7yS*qO55JXUpHUXYviLAHpP9rGZEYlttkfM18bidkP5ejlqRMrInX5sErJKfU21PMrwfZ-EjL1p1wHcNoH/PIC3copy.jpg990.jpg?width=650)
TEMEKE KUINGIA KWENYE FAINALI YA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uSNVoFImS3o/VTSyVkGpLdI/AAAAAAAHSEM/N2Mg8_bfOBk/s72-c/unnamed%2B(1).png)
WAKAAZI 10 TEMEKE WAINGIA KWENYE FAINALI YA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM
![](http://4.bp.blogspot.com/-uSNVoFImS3o/VTSyVkGpLdI/AAAAAAAHSEM/N2Mg8_bfOBk/s1600/unnamed%2B(1).png)