WAKAAZI 10 TEMEKE WAINGIA KWENYE FAINALI YA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM
![](http://4.bp.blogspot.com/-uSNVoFImS3o/VTSyVkGpLdI/AAAAAAAHSEM/N2Mg8_bfOBk/s72-c/unnamed%2B(1).png)
Pichani ni uwanja wa Mwembe Yanga Temeke wakati wa Shindano la Shika ndinga ya 93.7 EFM kwa wilaya hiyo lililofanyika Jumamosi tarehe 18 mwezi wa nne mwaka 2015 ambapo washiriki kumi kutoka wilaya hiyo wamefuzu kuingia fainali ya shika ndinga kwa mkoa wa Dar-es-salaam kati yao watano wakiwa wanawake na wengine watano ni wanaume.Shindano hili kwa wilaya hii lilikuwa la aina yake ukilinganisha na wilaya zingine kwa maaana washiriki walishika ndinga huku mvua kubwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKPlXJ7yS*qO55JXUpHUXYviLAHpP9rGZEYlttkfM18bidkP5ejlqRMrInX5sErJKfU21PMrwfZ-EjL1p1wHcNoH/PIC3copy.jpg990.jpg?width=650)
TEMEKE KUINGIA KWENYE FAINALI YA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Mp-bn5JoC-c/VTzNKmQgs4I/AAAAAAAHTYc/RulKhq29u-s/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
WASHINDI WA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM WAPATIKANA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PMEoet4sL4M/VSBLVUx-8KI/AAAAAAAHPUQ/XxxELAM2B1M/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
EFM yaja na Promosheni ya Shika Ndinga
![](http://1.bp.blogspot.com/-PMEoet4sL4M/VSBLVUx-8KI/AAAAAAAHPUQ/XxxELAM2B1M/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
Washiriki wa shindano kwa Wanawake walikua 21 na wanaume 20 ambapo kati ya hao ni Wanawake Watano na Wanaume watano waliofanikiwa kuendelea mbele katika raundi nyingine ambapo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljyx-zItX3usl6WqHm58KK9ovD9OUcUXj2QC-uJuZ7KJN*qysecg-lA5sFdlAjNqRp2DcQkk9EVKFlEW0ug1Uk7A/ndinga1.jpg?width=650)
SHIKA NDINGA WILAYA YA KINONDONI YAFANYIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MA0EzfCJUmN3H8OpfDLus2ts9DIp8XiQ5OI1GQGdwGgYxOWpjseB-9*51sYLEqpaTxlxWnemm5G7dYpMTDlAPp5/2.jpg)
MSHINDI WA NDINGA YA EFM AKABIDHIWA
10 years ago
MichuziMakundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke
![](http://3.bp.blogspot.com/-XPdO8YyqAFc/VbW6nkYPD1I/AAAAAAAAa-A/BKGhxcxMLwU/s640/Kati%2Bya%2Bmakundi%2Bmatano%2Byaliyopita%2Bkwenye%2Busajili%2Bwa%2Bkwanza%2Bwa%2BDance%2B100%2525%2B%25282015%2529%2B-%2BTemeke.%2BKundi%2Blinaitwa%2B%2527The%2BBest%2BBoys%2BKaka%2BZao%2527.jpg)
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.
Mratibu wa...
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Hungary waingia fainali Euro 2016
9 years ago
Bongo503 Dec
Liverpool waingia nusu fainali ya Capital one
![article-3343438-2F00819500000578-709_964x387](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/article-3343438-2F00819500000578-709_964x387-300x194.jpg)
Timu ya Liverpool imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la ligi maarufu kama Capital one .
Liverpool ilipata ushindi kwa kuichapa timu ya Southampton kichapo cha mabao 6-1.
Southampton walikuwa wa kwanza kupata bao la mapema katika dakika ya kwanza ya mchezo kupitia kwa mshambuliaji Sadio Mane.
Liverpool wakakomboa bao hilo kupitia mshambuliaji wao Daniel Sturridge katika dakika ya 29 , Sturridge, tena akaongeza bao la pili.
Mshambuliaji Divock Origi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8TyGxhXW52U/VZDtatQseHI/AAAAAAAHlaU/8xDAioE_OZU/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.png)
sakasaka ya 93.7 EFM yarindima wilayani Temeke