Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


sakasaka ya 93.7 EFM yarindima wilayani Temeke

KATIKA kuhakikisha kuwa 93.7 Efm inaendeleza utamaduni wake wa kushirikiana na wasikilizaji kama familia, inatoa nafasi nyingine tena ya kuwawezesha kiuchumi kupitia shindano lake la sakasaka ambalo limeanza rasmi jana Kigamboni jijini Dar es salaam.

Shindano hili linawawezesha washiriki ambao ni wasikilizaji wote  wa EFM,  kujishindia zawadi ya fedha taslimu kuanzia milioni moja na nusu, laki moja na shilingi elfu hamsini kwa lengo la kusonga mbele na wasikilizaji wake kwa kukuza uchumi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mshindi wa Sakasaka na 97.3 EFM ‎Deborah Charles akabidhiwa kitita chake

 ‎ ‎Deborah Charles kutoka Kinondoni Moscow akipokea kitita chake  Kutoka kwa mkuu wa vipindi Dickson Ponela wa EFM leo baada ya kushinda shindano hilo linaloendelea kila kona ya jiji la Dar es salaamMshindi wa Sakasaka na 97.3 EFM ‎Deborah Charles  akafurahia  kitita chake

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndugu Sophia Mjema akilakiwa na Dkt. Martha Kisanga, Meneja wa Kanda ya Pwani wa Shirika la Engender Health mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Shule ya Sekondari Kibasila kwa ajili ya kufunga rasmi mafunzo ya siku 5 yaliyohusu mradi wa kuzuia mimba za utotoni katika Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke tarehe 17.4.2015. Waliosimama katikati ni Ndugu Donald Siliva, Afisa-Elimu Sekondari, Wilaya ya Temeke na Dkt. Sarah Maongezi, Mkurugenzi wa Afya kutoka...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA UZINDUZI WA REDIO YA EFm MWEMBE-YANGA, TEMEKE

PNC akiimba kibao chake cha habari ya mjini. Mkude Simba akiwaongoza wapenda burudani kwa kunyoosha mikono juu kama ishara ya kumkumbuka marehemu Sharo. Umati wa watu uliojazana…

 

10 years ago

GPL

TEMEKE KUINGIA KWENYE FAINALI YA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM

Pichani ni uwanja wa Mwembe Yanga Temeke wakati wa  Shindano la Shika ndinga ya 93.7 EFM. Shindano la Shika ndinga ya 93.7 EFM kwa wilaya ya temeke limefanyika leo tarehe 18 mwezi wa nne mwaka 2015 ambapo washiriki kumi kutoka wilaya hiyo wamefuzu kuingia fainali ya shika ndinga kwa mkoa wa Dar-es-salaam kati yao watano wakiwa wanawake na wengine watano ni wanaume.Shindano hili kwa wilaya hii lilikuwa la aina yake...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAAZI 10 TEMEKE WAINGIA KWENYE FAINALI YA SHIKA NDINGA YA 93.7 EFM

                      Pichani ni uwanja wa Mwembe Yanga Temeke wakati wa  Shindano la Shika ndinga ya 93.7 EFM kwa wilaya hiyo  lililofanyika Jumamosi  tarehe 18 mwezi wa nne mwaka 2015 ambapo washiriki kumi kutoka wilaya hiyo wamefuzu kuingia fainali ya shika ndinga kwa mkoa wa Dar-es-salaam kati yao watano wakiwa wanawake na wengine watano ni wanaume.Shindano hili kwa wilaya hii lilikuwa la aina yake ukilinganisha na wilaya zingine kwa maaana washiriki walishika ndinga huku mvua kubwa...

 

11 years ago

Michuzi

Waendesha Pikipiki Wilayani Temeke wakutana

Umoja wa Waendesha Pikipiki wilayani Temeke ( UWAPITE) umekutana na kufanya mkutano wao mkuu leo katika ukumbi wa CCM kata 14 Temeke. Mgeni rasmi alikuwa ni Mjumbe wa NEC Ndg. Phares Magesa, ambaye aliwataka wanaboda boda hao kutii sheria na taratibu zote kama walivyotakiwa na Mamlaka husika, pia Ndg. Magesa aliwaasa wanabodaboda hao kuimarisha Umoja wao ili waweze kufanikiwa kufikia malengo yao. Ndg. Magesa aliahidi kufikisha katika Mamlaka husika mambo mbalimbali ambayo wanabodaboda hao...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yazoa wanachama wapya wilayani Temeke

>Watu 250 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia  Tawi la Kigunga B, Kilakala wilayani Temeke jijini Dar es salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Shule ya msingi kuvunjwa wilayani Temeke kumpisha mwekezaji

Hofu imewagubika wazazi na walimu wa Shule ya Msingi Mji Mpya, iliyopo Temeke baada ya kuwapo kwa taarifa za kubomolewa kwa shule hiyo ili kupisha ujenzi wa majengo ya biashara.

 

10 years ago

Michuzi

Kiongozi wa Kundi la TMK wanaume kugombea udiwani kata yake ya Kilungule, wilayani Temeke

Kiongozi wa Kundi la TMK wanaume na Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe kinachosimamia bendi ya vijana machachari wa Yamoto, Saidi Fella leo amechukua fomu ya kuomba kugombea udiwani katika kata yake ya Kilungule, wilayani Temeke, jijini Dar es salam.Saidi Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugombea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. "Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero za kata yangu, hapa kuna shida ya maji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani