Waendesha Pikipiki Wilayani Temeke wakutana
![](http://4.bp.blogspot.com/-rnUH2c7U5JE/U3Zcrc-HUTI/AAAAAAAFiJk/MfkAMvztgfA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Umoja wa Waendesha Pikipiki wilayani Temeke ( UWAPITE) umekutana na kufanya mkutano wao mkuu leo katika ukumbi wa CCM kata 14 Temeke. Mgeni rasmi alikuwa ni Mjumbe wa NEC Ndg. Phares Magesa, ambaye aliwataka wanaboda boda hao kutii sheria na taratibu zote kama walivyotakiwa na Mamlaka husika, pia Ndg. Magesa aliwaasa wanabodaboda hao kuimarisha Umoja wao ili waweze kufanikiwa kufikia malengo yao. Ndg. Magesa aliahidi kufikisha katika Mamlaka husika mambo mbalimbali ambayo wanabodaboda hao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Dec
Waendesha pikipiki kushtaki Jiji
UMOJA wa waendesha pikipiki Mkoa wa Dar es Salaam umekusudia kufungua kesi katika Mahakama Kuu kupata taarifa ya mipaka ya Mjini Kati (CBD) baada ya juhudi za mawasiliano na Hamashauri ya Jiji kushindikana.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Waendesha pikipiki, abiria wafa ajalini
WATU watatu wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi kwenye matukio tofauti, likiwemo la dereva wa pikipiki, Ramadhani Bakari (22), mkazi wa Yombo kumgonga mtembea kwa miguu. Kamanda wa Polisi...
11 years ago
Habarileo05 Jul
Waendesha pikipiki wafa wakionesha mbwembwe
VIJANA wawili ambao ni waendesha pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda, wamekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari la Serikali mali ya Idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoni Mara.
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA RUVUMA AKUTANA NA WAENDESHA PIKIPIKI SONGEA
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE
11 years ago
MichuziMTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI MOSHI ,NUSURA WAENDESHA BODABODA WAMTOE ROHO
10 years ago
MichuziNGO's YA APEC KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI DODOMA YAFUNGA MAFUZO KWA WAENDESHA PIKIPIKI (BODABODA) MKOANI HUMO
11 years ago
MichuziMTEMVU AKABIDHI MIKOPO YA MAGARI, BAJAJI, PIKIPIKI NA FEDHA TASLIMU KWA VIKOBA TEMEKE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pgD2LfDjuQY/VQ8TapymVbI/AAAAAAAHMSU/NRXpdtbr7O8/s72-c/unnamed%2B(95).jpg)
mhe sitta afunga mafunzo ya waendesha bodaboda wilayani urambo, azindua tawi la umoja wa vijana wa CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-pgD2LfDjuQY/VQ8TapymVbI/AAAAAAAHMSU/NRXpdtbr7O8/s1600/unnamed%2B(95).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gUiTxa9zZPY/VQ8TbmpAfBI/AAAAAAAHMSc/PUX5shEcn_0/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10