MKUU WA MKOA WA RUVUMA AKUTANA NA WAENDESHA PIKIPIKI SONGEA
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akizungumza na waendesha pikipiki (Maarufu kama Boda Boda) leo hii katika ukumbi wa Songea Club uliopo Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma. Mwambungu amewataka dereva Boda boda kuepusha ajali za barabarani kwa kufuata sheria,kutotumiwa katika maandamano ya kisiasa ambayo yanapelekea uvunjifu wa amani na kuwafanya wapoteze maisha ama kuwafanya kuwa walemavu.
Pichani ni umati wa waendesha pikipiki wa Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma wakimsikiliza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMKUTANO KATI YA MKUU WA MKOA DAR, WAENDESHA BODABODA 'WAYEYUKA KIANA'
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*ynSUOdAbV35u9nxQZ8nAYBUBwoTITM0p-9KiySqP3p3XeyqsBXu88dGmlUwPItVlv*r7xEtVImQ1PBXW2wWFV/IMG20140926WA0000.jpg)
WASANII WA FIESTA WATINGA KATIKA OFISI ZA MKUU WA MKOA WA SONGEA
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MKOA WA RUVUMA.
9 years ago
StarTV06 Jan
Waziri Mkuu aipiga marufuku Hospitali ya Mkoa Ruvuma kutoaji  Mimba
Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa amepiga marufuku utoaji wa mimba katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kufanya kazi ya utoaji Mimba atafukuzwa kazi mara moja.
Amesema hayo wakati akizungumza na watumishi, wauguzi na Madaktari wa Mkoa wa Ruvuma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kasimu Majaliwa mara baada ya kufanya ukaguzi katika hospitari ya mkoa wa Ruvuma amesema ana taarifa ya madakitar baadhi kuhusika na...
10 years ago
Habarileo14 Dec
Waendesha pikipiki kushtaki Jiji
UMOJA wa waendesha pikipiki Mkoa wa Dar es Salaam umekusudia kufungua kesi katika Mahakama Kuu kupata taarifa ya mipaka ya Mjini Kati (CBD) baada ya juhudi za mawasiliano na Hamashauri ya Jiji kushindikana.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rnUH2c7U5JE/U3Zcrc-HUTI/AAAAAAAFiJk/MfkAMvztgfA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Waendesha Pikipiki Wilayani Temeke wakutana
11 years ago
Habarileo05 Jul
Waendesha pikipiki wafa wakionesha mbwembwe
VIJANA wawili ambao ni waendesha pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda, wamekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari la Serikali mali ya Idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoni Mara.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Waendesha pikipiki, abiria wafa ajalini
WATU watatu wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi kwenye matukio tofauti, likiwemo la dereva wa pikipiki, Ramadhani Bakari (22), mkazi wa Yombo kumgonga mtembea kwa miguu. Kamanda wa Polisi...