MTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI MOSHI ,NUSURA WAENDESHA BODABODA WAMTOE ROHO
Askari polisi wa kituo cha kikuu cha Polisi cha kati akiwa amemshikilia kijana mmoja baada ya kumokoa toka mikononi mwa madereva bodaboda ambao walikwishaanza kujichukulia hatua mkononi kwa kumuadhibu baada ya kutaka kuiba pikipiki.
Askari katika ofisi za kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro walilazimika kufunga geti kuzuia kundi kubwa la madereva boda boda na watu wengine wakilazimisha kuingia ili kumfuata mwizi wao wa pikipiki.
Madereva hao walionekana kukerekwa na kuzuiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI MOSHI
10 years ago
MichuziNGO's YA APEC KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI DODOMA YAFUNGA MAFUZO KWA WAENDESHA PIKIPIKI (BODABODA) MKOANI HUMO
11 years ago
GPLKIBAKA AOKOLEWA NA POLISI BAADA YA KUIBA PIKIPIKI
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Mtuhumiwa amuua askari polisi kwa jiwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4VG1Iutjy7McV*URek1qbQlJsJGBihsb00U-YVDlDX63GG2fnIBUR6Qqe2P77E4DdpXz2mMJ*ozXCrbkBYUqAK/vurugu2.jpg?width=650)
NEWS ALERT: WAENDESHA BODABODA NACHINGWEA WAZINGIRA KITUO CHA POLISI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s72-c/matukio%252Bpic.jpg)
POLISI TANZANIA WAKAMATA MAGARI YA WIZI 130 NA PIKIPIKI 193
![](https://1.bp.blogspot.com/-SNqeSTe-q28/Xn9Dhgpws-I/AAAAAAAAxR8/9elLBNc5ZpkFKjPQyj38GSRZ0Ilay8ZIQCLcBGAsYHQ/s640/matukio%252Bpic.jpg)
Akizungumza leo Jumamosi Machi 28, 2020 Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Tanzania (DCI) Robert Boaz amesema wanawahoji watuhumiwa 128 na pindi upelelezi utakapokamilika sheria itachukua mkondo wake.
“Wanunuzi wa magari yaliyotumika ni muhimu kabla ya kununua wajiridhishe muuzaji ni mmiliki halali kwa kutumia polisi kukagua gari hilo na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA LEO MKOANI DODOMA, MTUHUMIWA WA MAUAJI AUWAWA NA WANANCHI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MIRATHI-5-001.jpg?width=650)
MIRATHI NUSURA IMTOE ROHO!