NEWS ALERT: WAENDESHA BODABODA NACHINGWEA WAZINGIRA KITUO CHA POLISI
![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4VG1Iutjy7McV*URek1qbQlJsJGBihsb00U-YVDlDX63GG2fnIBUR6Qqe2P77E4DdpXz2mMJ*ozXCrbkBYUqAK/vurugu2.jpg?width=650)
Baadhi ya waendesha bodaboda wilayani Nachingwea wakiwa eneo la kituo cha polisi. Waendesha bodaboda wakiwa eneo la kituo cha polisi. Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba waendesha bodaboda wilayani Nachingwea mkoani Lindi wamevamia kituo cha polisi na kukizingira.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s72-c/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
News Alert: Majambazi wavamia kituo cha Polisi Kimanzichana na kuua Askari
![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s1600/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la JOSEPH NGONYANI na kuanza kumkatakata mapanga na hatimaye kupora silaha aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
Ndipo...
10 years ago
Michuzi13 Jul
NEWS ALERT: WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TtzphOW4VFE/U-73WEFvswI/AAAAAAAF_-4/0eM5uKKbZiQ/s72-c/5c613b59a6c16d60985faae9e412a6e2.jpg)
news alert: Moto wateketeza kituo cha kupozea umeme cha mjini Moshi asubuhi hii
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: JWTZ WATEGUA BOMU LILOTEGWA KATIKA ENEO LA KITUO CHA KURUSHIA MATANGAZO CHA TBC SONGEA
Bomu hili linalosadikiwa kutengenezwa kienyeji nawatu wasiojulikana lilitegwa hatua zinazokadiliwa thelathini kutoka kitika kituo kilipo katika eneo ambalo askari wa usalama barabarani wanakaa kwa ajili kufanya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HIxW113On4Q/VZ_EquYVmtI/AAAAAAAHoeI/j1iZ7Z_Y7GM/s72-c/AuTHygbbEvvhqmwtA-VpyrinymCLKlZjmyP7AVBNl5go.jpg)
NEWZZ ALERT:KITUO CHA POLISI BUNJU CHACHOMWA MOTO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HIxW113On4Q/VZ_EquYVmtI/AAAAAAAHoeI/j1iZ7Z_Y7GM/s640/AuTHygbbEvvhqmwtA-VpyrinymCLKlZjmyP7AVBNl5go.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ynmmg7RdZJ0/VZ_Eqp5LetI/AAAAAAAHoeM/hoF7V1Przko/s640/h.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl3z84pQiB0/VZ_E5IVvKsI/AAAAAAAHoeY/6T7vnXH6uGM/s640/ArvPeAC8v13VHhmXjdJQmephA7sFdibBihk4NAYgf1Qu.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Feb
BREAKING NEWS;KITUO CHA POLISI MOSHI KINAWAKA MOTO
HABARI ZAIDI TUTAZIDI KUWALETEA KADIRI YA ZITAKAVYOKUWA ZIKIINGIA.
11 years ago
Habarileo23 Dec
DC: Waendesha bodaboda chanzo cha ajali nyingi
MKUU wa Wilaya ya Masasi anayeshikilia pia Wilaya ya Nanyumbu Farida Mgomi amesema kuwa ajali nyingi za barabarani zinasababishwa na madereva pikipiki (bodaboda) kutokana na kutojua, kutotii na kutofuata sheria za usalama barabarani.
11 years ago
MichuziMTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI MOSHI ,NUSURA WAENDESHA BODABODA WAMTOE ROHO
11 years ago
MichuziNews Alert:WANAFUNZI 212 WA UASKARI CHUO CHA TAALUMA YA POLISI MOSHI WAFUKUZWA BAADA YA KUBAINIKA KUTUMIA VYETI FEKI
CHUO cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za kughushi vyeti vya elimu ya sekondari..
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya Polisi mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Kamishna...