NEWS ALERT: JWTZ WATEGUA BOMU LILOTEGWA KATIKA ENEO LA KITUO CHA KURUSHIA MATANGAZO CHA TBC SONGEA
Jeshi la polisi kwa kushirikiana na Jeshi la Ulinzi la wananchi Tanzania(JWTZ) wamefanikiwa kulipua bomu lililotegwa katika eneo la kituo cha kurushia matangazo kilichopo mshangano cha shirika la utangazaji Tanzania (TBC) Songea Mkoani Ruvuma siku ya jana majira ya saa moja jioni.
Bomu hili linalosadikiwa kutengenezwa kienyeji nawatu wasiojulikana lilitegwa hatua zinazokadiliwa thelathini kutoka kitika kituo kilipo katika eneo ambalo askari wa usalama barabarani wanakaa kwa ajili kufanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
JWTZ wategua bomu lilotegwa katika eneo la kituo cha kurushia matangazo cha TBC Songea
Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela akipata maelekezo kutoka kwa mtaaram wa mabomu ambaye ni kamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) kabla ya kulitegua bomu hili.
Hili ni eneo la tukio ambalo limezungushiwa mkanda huu wa Polisi uliandikwa hairuhusiwi kupita eneo hili, Lakini chini ya huo mti kama inavoonekana katika picha kukiwa na udongo umetifuliwa ndipo mahala ambapo lilitegwa bomu hili...
10 years ago
GPLJWTZ WATEGUA BOMU LILOTEGWA KATIKA ENEO LA KITUO CHA KURUSHIA MATANGAZO CHA TBC SONGEA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hKOamXp0zn4/VO09qHmpgkI/AAAAAAAHFvQ/kWhx-hjJfMI/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar atembelea kituo kipya cha kurushia matangazo cha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wyK9bAs*AkU13ustQYQE0-HtFTdioX3twxfGLJfJeChBQfsrIZOwtXCdgKcjBngG6rUbWJGnJyec5qL3tiQijDvqhyvwzyBO/unnamed25.jpg?width=650)
WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR ATEMBELEA KITUO KIPYA CHA KURUSHIA MATANGAZO CHA SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TtzphOW4VFE/U-73WEFvswI/AAAAAAAF_-4/0eM5uKKbZiQ/s72-c/5c613b59a6c16d60985faae9e412a6e2.jpg)
news alert: Moto wateketeza kituo cha kupozea umeme cha mjini Moshi asubuhi hii
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: ASKARI WA TATU WAJERUHIWA NA MLIPUKO WA BOMU SONGEA
(Picha Zote na demasho.com)-------------
ASKARI watatu wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma (Homso) iliyopo mjini songea Mkoani humo wakiwa wanapatiwa matibabu ya majeraha ambayo waliyapata baada ya kushambuliwa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni Bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo limetokea September 16, 2014 majira ya saa moja na nusu jioni katika kata ya Msufini karibu na daraja la Matarawe,...
10 years ago
Michuzi13 Jul
NEWS ALERT: WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-adxq4Bc2l64/U61F2KdbwLI/AAAAAAACkZI/ayUnrUUpTbM/s72-c/OB4b.jpg)
Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) lapatiwa msaada wa Gari la kisasa la kurushia matangazo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://2.bp.blogspot.com/-adxq4Bc2l64/U61F2KdbwLI/AAAAAAACkZI/ayUnrUUpTbM/s1600/OB4b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-49r17w9hxeM/U61F23B9DnI/AAAAAAACkZU/x3Ho51uCPyE/s1600/OB4c.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4VG1Iutjy7McV*URek1qbQlJsJGBihsb00U-YVDlDX63GG2fnIBUR6Qqe2P77E4DdpXz2mMJ*ozXCrbkBYUqAK/vurugu2.jpg?width=650)
NEWS ALERT: WAENDESHA BODABODA NACHINGWEA WAZINGIRA KITUO CHA POLISI