Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIRATHI NUSURA IMTOE ROHO!

Masanga Said Bori, anayevuja damu. Boniphace Ngumije na Mayasa Mariwata BALAA! Mkazi wa Mtaa wa Manyoni, Ilala jijini Dar aliyejulikana kwa jina la Masanga Said Bori (pichani), Jumamosi iliyopita nusura atolewe uhai akitetea mirathi ya nyumba iliyoachwa na shangazi yake, Mwanafatima binti Mchinga akiwa na ndugu zake, Panya Bori, Mchinga Bori, Mwanafatima Bori na Zaujiha Bori. Kwa mujibu wa chanzo, nyumba hiyo namba 27/1 yenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Nia ya Udiwani kata ya Segerea nusura imtoe roho mtoto wa Massaburi

Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Segerea,  Steve Massaburi akiwa Hospitali ya Aga-khan leo akiendelea na matibabu.

Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Segerea,  Steve Massaburi akiwa Hospitali ya Aga-khan leo akiendelea kuuguza majeraha baada ya kujeruhiwa kwa mapanga nyumbani kwake Segerea jijini Dar es Salaam jana na watu wasiojulikana. Kushoto anayemuhudumia ni jamaa yake Martin Pemba.

Na Dotto Mwaibale

WATU wasiojulikana wamejeruhi kwa mapanga Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya...

 

10 years ago

GPL

NIA YA UDIWANI KATA YA SEGEREA NUSURA UMTOE ROHO MTOTO WA MASSABURI

Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Segerea,  Steve Massaburi akiwa Hospitali ya Aga-khan leo akiendelea kuuguza majeraha baada ya kujeruhiwa kwa mapanga nyumbani kwake Segerea jijini Dar es Salaam jana na watu wasiojulikana. Steve Massaburi akiendelea kuuguza majeraha, kushoto anayemuhudumia ni jamaa yake Martin Pemba.   Na Dotto Mwaibale   WATU wasiojulikana wamejeruhi kwa mapanga Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya...

 

11 years ago

Michuzi

MTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI MOSHI ,NUSURA WAENDESHA BODABODA WAMTOE ROHO

Askari polisi wa kituo cha kikuu cha Polisi cha kati akiwa amemshikilia kijana mmoja baada ya kumokoa toka mikononi mwa madereva bodaboda ambao walikwishaanza kujichukulia hatua mkononi kwa kumuadhibu baada ya kutaka kuiba pikipiki. Askari katika ofisi za kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro walilazimika kufunga geti kuzuia kundi kubwa la madereva boda boda na watu wengine wakilazimisha kuingia ili kumfuata mwizi wao wa pikipiki. Madereva hao walionekana kukerekwa na kuzuiwa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI

Na  Bashir  Yakub.
Mara  kadhaa kwenye  familia  mbalimbali   kumekuwa hakuna  maelewano  juu  ya  nani  asimamie  mirathi. Unakuta  wapo  wanaomkubali  fulani  asimamie  na  wapo  wanomkataa  wakimtaka   fulani  mwingine  ndiye  asimamie.  Hii   huwa  na  athari  kubwa sana  kwa  warithi  hasa  watoto  kama  wanasoma  ambao  kimsingi  hutakiwa kutumia mali  zile katika  mahitaji  ya  msingi  kama  ada  na  mahitaji  mengine muhimu ya  kiustawi. 
Tumeshashuhudia  mara  nyingi  watoto  wakiacha...

 

10 years ago

GPL

MKE WA TYSON ASHINDA MIRATHI

Mke wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo. Stori: Mayasa Mariwata na Hamida Hassan
MKE wa muandaaji mahiri wa filamu George Tyson, Beatrice Shayo amefanikiwa kushinda kesi na kuwa msimamizi wa mirathi baada ya mtafaruku mkubwa uliotokea wa kugombea mali na mwanadada aliyekuwa akiishi na msanii huyo kipindi cha mwisho cha uhai wake, Lucy Sepetu. Akizungumzia ishu hiyo Beatrice alisema anashukuru Mungu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pingamizi katika maombi ya mirathi

KATIKA makala zangu hapo nyuma, niliwahi kuelezea umuhimu wa kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi — 2

KWA wasomaji wapya,  wiki iliyopita nilizungumzia usimamizi wa mirathi  pamoja na wanaonufaika na mirathi. Sheria ya usimamizi wa mirathi sura ya 352 ya sheria za Tanzania, ndiyo nitakayoirejea katika kuzungumzia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABCO: Wanawake wamilikishwe mirathi

SHIRIKA linalojishughulisha na kutetea haki za wanawake na watoto jijini Mwanza la TABCO, limeitaka jamii nchini kuwathamini na kuwapa wanawake haki ya kumiliki mirathi ya wenzi wao. Kauli hiyo ilitolewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi

LEO tutaangalia wajibu wa wasimamizi wa mirathi. Nitazungumzia juu ya usimamizi wa mirathi  pamoja na mambo muhimu  juu ya wanaonufaika na mirathi. Katika Mahakama za Mwanzo pamoja na  zile mahakama ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani