KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s72-c/law_5.jpg)
Na Bashir Yakub.
Mara kadhaa kwenye familia mbalimbali kumekuwa hakuna maelewano juu ya nani asimamie mirathi. Unakuta wapo wanaomkubali fulani asimamie na wapo wanomkataa wakimtaka fulani mwingine ndiye asimamie. Hii huwa na athari kubwa sana kwa warithi hasa watoto kama wanasoma ambao kimsingi hutakiwa kutumia mali zile katika mahitaji ya msingi kama ada na mahitaji mengine muhimu ya kiustawi.
Tumeshashuhudia mara nyingi watoto wakiacha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi — 2
KWA wasomaji wapya, wiki iliyopita nilizungumzia usimamizi wa mirathi pamoja na wanaonufaika na mirathi. Sheria ya usimamizi wa mirathi sura ya 352 ya sheria za Tanzania, ndiyo nitakayoirejea katika kuzungumzia...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi
LEO tutaangalia wajibu wa wasimamizi wa mirathi. Nitazungumzia juu ya usimamizi wa mirathi pamoja na mambo muhimu juu ya wanaonufaika na mirathi. Katika Mahakama za Mwanzo pamoja na zile mahakama ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hPEVXD2uHSU/VNpZx68vsMI/AAAAAAAHC9M/Aq9a_nIJQBc/s72-c/images.jpg)
JE HAURIDHISHWI NA MSIMAMIZI WENU WA MIRATHI, HII NI NJIA YA KUMUONDOA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hPEVXD2uHSU/VNpZx68vsMI/AAAAAAAHC9M/Aq9a_nIJQBc/s1600/images.jpg)
10 years ago
GPLMKE WA TYSON ASHINDA MIRATHI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsG23jvX2yr36M3GJdP8sP3qyumCjUGM81PNXLcJPBmexgP67Ewy18LPZ1lbvVYlYw9-OUs7jRPjqPg2qTYRPOJ8/mgogoro2.jpg?width=650)
MGOGORO MZITO MIRATHI YA KULOLA
10 years ago
Mwananchi04 Feb
‘Watanzania hawana uelewa wa mirathi’
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Pingamizi katika maombi ya mirathi — 2
WIKI iliyopia nilisema kwamba ni muhimu kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani ya kipindicha siku...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Pingamizi katika maombi ya mirathi
KATIKA makala zangu hapo nyuma, niliwahi kuelezea umuhimu wa kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani...