Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi — 2

KWA wasomaji wapya,  wiki iliyopita nilizungumzia usimamizi wa mirathi  pamoja na wanaonufaika na mirathi. Sheria ya usimamizi wa mirathi sura ya 352 ya sheria za Tanzania, ndiyo nitakayoirejea katika kuzungumzia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi

LEO tutaangalia wajibu wa wasimamizi wa mirathi. Nitazungumzia juu ya usimamizi wa mirathi  pamoja na mambo muhimu  juu ya wanaonufaika na mirathi. Katika Mahakama za Mwanzo pamoja na  zile mahakama ...

 

10 years ago

Michuzi

JE HAURIDHISHWI NA MSIMAMIZI WENU WA MIRATHI, HII NI NJIA YA KUMUONDOA.

Na Bashir YakubWapo  watu ambao  baada  ya  kupata  cheo au  nafasi  ya  kuwa wasimamizi wa mirathi  hugeuka  waungu.  Huwa hawaambiwi  wala  hawasikii  la  mtu. Huwezi kuamini  kuwa  kuna baadhi ya wasimamizi wa  mirathi  wamekataa  kugawa  mali  za marehemu  sasa ni zaidi ya miaka   kumi. Na si kwamba wamefanya  hivyo  kwa maslahi mapana  ya familia, hapana. Wamefanya  hivyo kwa ukorofi  lakini kubwa zaidi  wanafanya  hivyo  ili waendelee  kunufaika na  mali za marehemu  peke  yao. Mambo...

 

10 years ago

Michuzi

KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI

Na  Bashir  Yakub.
Mara  kadhaa kwenye  familia  mbalimbali   kumekuwa hakuna  maelewano  juu  ya  nani  asimamie  mirathi. Unakuta  wapo  wanaomkubali  fulani  asimamie  na  wapo  wanomkataa  wakimtaka   fulani  mwingine  ndiye  asimamie.  Hii   huwa  na  athari  kubwa sana  kwa  warithi  hasa  watoto  kama  wanasoma  ambao  kimsingi  hutakiwa kutumia mali  zile katika  mahitaji  ya  msingi  kama  ada  na  mahitaji  mengine muhimu ya  kiustawi. 
Tumeshashuhudia  mara  nyingi  watoto  wakiacha...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi

Uwanja wa Kambole leo unakupa fursa ya kusoma na kuelewa juu ya sheria za mirathi hasa kwenye kipengele cha kumpinga na kumuondoa msimamizi wa mirathi. Hata hivyo, unapaswa kufahamu kuwea kiuzoefu wasimamizi wengi wa mirathi ni wakorofi. Kwanza wakishachaguliwa wanaanza kutumia mali za marehemu kwa faida yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wahojiwa kumuondoa mwenyekiti

KAMATI ya Usalama na Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tanga, imewahoji madiwani 22 wa Halmashauri ya Korogwe Vijijini akiwemo mbunge wa jimbo hilo, Stephen Ngonyani kuhusu kumuondoa madarakani...

 

10 years ago

Habarileo

Washushuliwa kumuondoa DED bila utaratibu

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera amesema Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara halina mamlaka ya kumkataa na kumwondoa madarakani Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Grace Mbaruku kwa kuwa kanuni na sheria haziwapi fursa ya kufanya hivyo.

 

10 years ago

Vijimambo

SHOGA: MFANYIE MASAJI MUMEO KUMUONDOA UCHOVU!

Shoga, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu anayetupenda licha ya sisi kutompendeza kutokana na mambo tunayoyafanya kwa makusudi na kutokukusudia, naamini u bukheri wa afya.Kwa upande wangu naendelea vizuri na kazi na familia yangu haina tatizo isipokuwa nasikitishwa na ajali zinazotokea mara kwa mara katika nchi yetu na kuua watu wengi kwa sababu ya uzembe wa madereva.

Shoga, baada ya kusema hayo ngoja nirejee kwenye mada yangu ya leo inayohusiana na kuwafanyia masaji waume zetu kwa lengo la...

 

10 years ago

GPL

Kiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC

Mshambuliaji wa Simba,Paul Kiongera. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas Dar es Salaam
TIMU ya Simba imepanga kumrejesha kiungo mshambuliaji Paul Kiongera katika usajili mkubwa wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho.Wakati mipango ikiwa hivyo, kiungo huyo ametoa kauli kuwa anakuja akiwa fiti, hiyo ikimaanisha kuwa ushindani wa namba kwenye idara ya ushambuliaji utakuwa mkali kati yake na Elias...

 

9 years ago

GPL

UKWEPAJI KODI KUMUONDOA MESSI BARCELONA AU KUMPELEKA JELA

Lionel Messi Messi na baba yake Jorge. STAA wa soka duniani ambaye anayeichezea timu ya mabingwa wa La Liga 2014/2015, Barcelona, Lionel Messi anatarajiwa kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma za ukwepaji wa kodi nchini humo. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Mapato Hispania, ilisema kuwa kama hatalipa kodi hiyo mapema iwezekananvyo, atapandishwa kizimbani au… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani