JE HAURIDHISHWI NA MSIMAMIZI WENU WA MIRATHI, HII NI NJIA YA KUMUONDOA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hPEVXD2uHSU/VNpZx68vsMI/AAAAAAAHC9M/Aq9a_nIJQBc/s72-c/images.jpg)
Na Bashir YakubWapo watu ambao baada ya kupata cheo au nafasi ya kuwa wasimamizi wa mirathi hugeuka waungu. Huwa hawaambiwi wala hawasikii la mtu. Huwezi kuamini kuwa kuna baadhi ya wasimamizi wa mirathi wamekataa kugawa mali za marehemu sasa ni zaidi ya miaka kumi. Na si kwamba wamefanya hivyo kwa maslahi mapana ya familia, hapana. Wamefanya hivyo kwa ukorofi lakini kubwa zaidi wanafanya hivyo ili waendelee kunufaika na mali za marehemu peke yao. Mambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi — 2
KWA wasomaji wapya, wiki iliyopita nilizungumzia usimamizi wa mirathi pamoja na wanaonufaika na mirathi. Sheria ya usimamizi wa mirathi sura ya 352 ya sheria za Tanzania, ndiyo nitakayoirejea katika kuzungumzia...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi
LEO tutaangalia wajibu wa wasimamizi wa mirathi. Nitazungumzia juu ya usimamizi wa mirathi pamoja na mambo muhimu juu ya wanaonufaika na mirathi. Katika Mahakama za Mwanzo pamoja na zile mahakama ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s72-c/law_5.jpg)
KAMA HAMUELEWANI JUU YA MSIMAMIZI MIRATHI INARUHUSIWA NYOTE KUOMBA KUSIMAMIA MIRATHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmSI2oTxaRo/VZYRkLDM61I/AAAAAAAHmik/2dw6vu67Vpc/s320/law_5.jpg)
Mara kadhaa kwenye familia mbalimbali kumekuwa hakuna maelewano juu ya nani asimamie mirathi. Unakuta wapo wanaomkubali fulani asimamie na wapo wanomkataa wakimtaka fulani mwingine ndiye asimamie. Hii huwa na athari kubwa sana kwa warithi hasa watoto kama wanasoma ambao kimsingi hutakiwa kutumia mali zile katika mahitaji ya msingi kama ada na mahitaji mengine muhimu ya kiustawi.
Tumeshashuhudia mara nyingi watoto wakiacha...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8lsfWr73rWk/VM6mfAJEuGI/AAAAAAAHA4g/Rk5VsVceGKk/s72-c/download.jpg)
makala ya sheria: USINUNUE KIWANJA/NYUMBA YA MIRATHI BILA KUPATA FOMU HII.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8lsfWr73rWk/VM6mfAJEuGI/AAAAAAAHA4g/Rk5VsVceGKk/s1600/download.jpg)
Na Bashir YakubNimeandika makala nyingi kuhusu namna ya kisheria ya kuepuka kununua nyumba/viwanja vyenye migogoro kwakuwa migogoro ya vitu hivi inaumiza sana. Waliokutana na migogoro hii wanajua vyema ninaongea nini. Katika mwendelezo wa kumuepusha mnunuzi na janga hili, leo tena tuangalie taratibu za ununuzi wa nyumba/kiwanja cha mirathi. Nataka ieleweke vyema kuwa taratibu za manunuzi ya nyumba/kiwanja zinatofautiana. Tofauti kubwa ni za kisheria hasa namna ya uandishi wa...
10 years ago
Vijimambo04 Dec
9 years ago
Bongo524 Oct
Hii ndio njia aliyotumia Khole Kardashian kumpiga chini boyfriend wake baada ya kurudiana na mumewe!
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Madiwani wahojiwa kumuondoa mwenyekiti
KAMATI ya Usalama na Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tanga, imewahoji madiwani 22 wa Halmashauri ya Korogwe Vijijini akiwemo mbunge wa jimbo hilo, Stephen Ngonyani kuhusu kumuondoa madarakani...
10 years ago
Habarileo04 Feb
Washushuliwa kumuondoa DED bila utaratibu
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera amesema Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara halina mamlaka ya kumkataa na kumwondoa madarakani Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Grace Mbaruku kwa kuwa kanuni na sheria haziwapi fursa ya kufanya hivyo.