Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hii ndio njia aliyotumia Khole Kardashian kumpiga chini boyfriend wake baada ya kurudiana na mumewe!

Baada ya mdogo wake Kim K, Khole Kardashian kurudisha uhusiano wake na mume wake Lamar Odom ambaye ni mgonjwa, Khloe alilazimika kumpiga chini aliyekuwa boyfriend wake mpya. Kupigwa chini na mpenzi inamua (kama umeshawahi kuwa kwenye nafasi hiyo utakuwa unafahamu), lakini kupigwa chini kwa style aliyotumia Khloe ndio inaweza kuwa inauma zaidi. Baada ya Star […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian asema hakumpiga chini boyfriend wake James Harden, bado ni wapenzi

Baada ya Khloe Kardashian kukanusha kuwa hajarudiana na Lamar Odom licha ya kusitisha kesi ya kudai talaka, mdogo huyo wa Kim K amesema kuwa hajaachana na boyfriend wake ambaye ni mchezaji wa NBA, James Hardens kama ilivyoripotiwa. Akizungumza kwenye mahojiano na jarida la PEOPLE, alifafanua kwa kusema amekuwa muelewa sana katika kipindi hiki anachomuuguza mumewe […]

 

9 years ago

GPL

BAADA YA MUMEWE KUBADILI JINSIA... MAMA KIM: NATAKA NIITWE KARDASHIAN

Kris Jenner NEW YORK, Marekani IKIWA imepita miezi kadhaa tangu mumewe, Bruce Jenner kujibadili jinsia na kuwa mwanamke kisha kujiita ‘Caitlyn’ mkewe naye ameamua kumfuta kabisa kwa kubadilisha jina la Kris Jenner na kutaka kuitwa Kris Kardashian. Bruce Jenner (Caitlyn). Kwa mujibu wa mtandao maarufu wa Marekani, unaweka wazi kuwa Kris (59) anafanya kila liwezekanalo kujibadilisha muonekano na kuwa mzuri kuliko...

 

10 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian alimpiga chini French Montana baada ya kugundua anammendea rafiki yake

Khloe Kardashian anadaiwa kuwa aliamua kumpiga chini mpenzi wake French Montana mapema mwezi huu baada ya kugundua kuwa alikuwa akimmendea rafiki yake.. Khloe na Malika Kwa mujibu wa mtandao wa Media Take Out, Khloe aligundua kuwa mpenzi wake alikuwa akitumiana ujumbe wa simu kwa siri na rafiki yake Malika Haqq. French Montana na Malika (kulia) […]

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal ….

Kila mpenda soka anasubiria kuona mwaka 2015 utamalizikaje kwa kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal kuendelea kuwa Man United, Kwani Van Gaal kwa sasa anahusishwa kufukuzwa kazi wakati wowote. Mengi yanachochea uvumi huo kuwa upo karibu kutimia, ukizingatia mtendaji mkuu wa Man United yupo kimya kwa muda mrefu bila kutoa kauli yoyote. Wazungu […]

The post Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal …. appeared first on...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

This Is How Kourtney Kardashian Really Feels About Kris Jenner's Boyfriend, Corey Gamble

This Is How Kourtney Kardashian Really Feels About Kris Jenner's Boyfriend, Corey Gamble  Showbiz Cheat SheetKardashian's Ready To ACCEPT Tristan Thompson BACK As He Reconciles Relationship With Khloe!  HollyscoopHow The Kardashians Will Feel If Khloe & Tristan Thompson Get Back Together  HollywoodLifeKim Kardashian West Just Forced Scott Disick To Try One Of Her Vegan Tacos -- And Recorded It  Showbiz Cheat SheetKim Kardashian's Bronde Hair Will Probably Be The Next Big Hair Color...

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!

Mwanamke mmoja katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, amemfanyia ukatili mume wake kwa kumwagia maji ya moto yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya kupikia ugali.Kwa mujibu wa jeshi la polisi wilayani hapa, tukio hilo lilitokea juzi, saa 4:30 usiku, katika mtaa wa Nyamakokoto, mjini Bunda, baada ya kuzuka ugomvi ulitokana na mwanamke huyo (jina linahifadhiwa) kuchelewa kurudi nyumbani.Mwanaume huyo amejeruhiwa vibaya mume wake sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyopelekea kulazwa katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kupigana Chini na Bushoke, Jini Kabula Amutambulisha Mpenzi Wake Mpya!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ambae hivi karibuni aliripotiwa kuachana  na mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke ambae alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu.

Hivi majuzi Jini Kabula alitupia picha mtandaoni, akiwa na jamaa  katika pozi la kimahaba huku macho yake ameyalegeza  kama inavyo onekana hapo juu, na kuandika maneno  ya kumtambulisha huyo jamaa kuwa ndie mpenzi wake.

“With my beiby...morning TANZANIA...” Kabula aliandika.

Mashabiki wake walimpongeza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel itaharibu njia za chini kwa chini

Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema kuwa Isareli haina budi ila kuharibu uwezo wa Hamas kivita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani