Baada ya Kupigana Chini na Bushoke, Jini Kabula Amutambulisha Mpenzi Wake Mpya!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ambae hivi karibuni aliripotiwa kuachana na mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke ambae alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu.
Hivi majuzi Jini Kabula alitupia picha mtandaoni, akiwa na jamaa katika pozi la kimahaba huku macho yake ameyalegeza kama inavyo onekana hapo juu, na kuandika maneno ya kumtambulisha huyo jamaa kuwa ndie mpenzi wake.
“With my beiby...morning TANZANIA...” Kabula aliandika.
Mashabiki wake walimpongeza...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies14 May
Jini Kabula Atulizwa na Mpenzi Wake
Baada ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.
Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.
“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu mpya wa hivi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkY48Hq9C4Enymn9a2RPRC1qpbVttMjh*QUJXGBigDsqQ-c23HYwaCDpaJnd3cJIBvYzm*VhJbEamkpgrBeF4wU/Picture146.jpg?width=650)
JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*uTMXPV5v*XoLekZsm5zUNfyWPTNbe7l6TSrWcYrDt90*4u6KUmlcbn6gde7yNOwrNedT15I9M8HSO4d*6a54Z/Bushoke.jpg)
JINI KABULA, BUSHOKE WAMWAGANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxaDMdCIR8XKEwkDbslVwrXu1D7t9r*g9AkDdL7*VhSsWknyYr6Nd2MlQME1MJUHrHQx6Lm4u0ltMZlHh90ZYsJf/jini.jpg?width=650)
JINI KABULA: PIGA UA BUSHOKE ANANIOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4xRLaFbcguw7-FkKF59wpn*H-7HMyVhW5NARrcndZdxwFfZClObKmjl-QYxwq*K8BK3kh1mL7iELqP30SPE-27/JINIKABULA.jpg?width=650)
JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Jini kabula amwanika wa ubani wake
Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’.
NA gladness mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi karibuni alimwanika mpenzi wake kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp na kuambatanisha na maneno ya kimahaba.
Jini Kabula aliweka picha ya mpenzi wake huyo ambaye hakutaka kumtaja jina huku akiambatanisha na maneno ya kimahaba na alipoulizwa kuhusu suala la ndoa alisema halipo bali ni marafiki tu.
“Huyu ni rafiki yangu sana na niliweka picha tukiwa pamoja kwenye...
10 years ago
Mtanzania14 May
Kabula atulizwa na mpenzi wake
NA RHOBI CHACHA
BAADA ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, mwigizaji wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.
Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.
“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-sTTx-2PstxkaElaJAR9I6oRf-JedhDMxksBcZwlYPL7AmRUk1bY49WhtZSI16u3PHiOnJgt5YQl-P0FKrxsqZ-/KABURA.jpg?width=650)
KABULA AJUTA KUMPENDA BUSHOKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEuk5ZpjIoVID1nOBdbhR3N7SaDNeyE3QQ9gMEZ0smGtZSVI-9j2EDKT6fo5WL-8QWeagTbb*lsqbWIGwTdWN9nck/jgg.jpg?width=650)
MADAI JINI KABULA AREKODIWA