KABULA AJUTA KUMPENDA BUSHOKE
![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-sTTx-2PstxkaElaJAR9I6oRf-JedhDMxksBcZwlYPL7AmRUk1bY49WhtZSI16u3PHiOnJgt5YQl-P0FKrxsqZ-/KABURA.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda BAADA ya hivi karibuni kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu, Maximilian Bushoke, msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kwamba hahitaji tena mwanaume kwa sasa. Msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ akipozi. Akipiga stori na paparazi wetu, Jini Kabula alisema kutokana na kwamba alikaa kwenye uhusiano wa kimapenzi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
Jini Kabula Afunguka Kumpenda Mwisho
Staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’amefunguka na kusema wazi kuwa anampenda staa mwenzake, Mwisho Mwampamba kwa kile alichodai kuwa ana roho nzuri, na kusisitiza kuwa kwa sasa yeye hana mahusianao ya mwanaume wa kitanzania na ieleweke hiyo.
Kabula aliyasema hayo kupitia ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kubandika picha ya Mwisho.
“Wee ndo mchizi wangu jambazi wangu nakupendaga tu kwa roho yako mzungu wangu ndo vile ukiibukaga Tanzania nakuwaga happy....sihitaji fununu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*uTMXPV5v*XoLekZsm5zUNfyWPTNbe7l6TSrWcYrDt90*4u6KUmlcbn6gde7yNOwrNedT15I9M8HSO4d*6a54Z/Bushoke.jpg)
JINI KABULA, BUSHOKE WAMWAGANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkY48Hq9C4Enymn9a2RPRC1qpbVttMjh*QUJXGBigDsqQ-c23HYwaCDpaJnd3cJIBvYzm*VhJbEamkpgrBeF4wU/Picture146.jpg?width=650)
JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxaDMdCIR8XKEwkDbslVwrXu1D7t9r*g9AkDdL7*VhSsWknyYr6Nd2MlQME1MJUHrHQx6Lm4u0ltMZlHh90ZYsJf/jini.jpg?width=650)
JINI KABULA: PIGA UA BUSHOKE ANANIOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4xRLaFbcguw7-FkKF59wpn*H-7HMyVhW5NARrcndZdxwFfZClObKmjl-QYxwq*K8BK3kh1mL7iELqP30SPE-27/JINIKABULA.jpg?width=650)
JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA
10 years ago
Bongo Movies05 Feb
Baada ya Kupigana Chini na Bushoke, Jini Kabula Amutambulisha Mpenzi Wake Mpya!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ambae hivi karibuni aliripotiwa kuachana na mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke ambae alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu.
Hivi majuzi Jini Kabula alitupia picha mtandaoni, akiwa na jamaa katika pozi la kimahaba huku macho yake ameyalegeza kama inavyo onekana hapo juu, na kuandika maneno ya kumtambulisha huyo jamaa kuwa ndie mpenzi wake.
“With my beiby...morning TANZANIA...” Kabula aliandika.
Mashabiki wake walimpongeza...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Ainea sasa ajuta kupenda
MSANII anayekuja juu kwa kasi katika muziki wa kizazi kipya nchini, Kedimon Ainea, maarufu kama ‘Ainea’, anatarajia kuachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Najuta Kupenda’ hivi karibuni. Akizungumza na Tanzania Daima...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0Tmlw9KuHqAGy*PefSqsHnXZLM3sXfOabYBS-P8vf-6aoCrRM9UI*Qsh5gT2Kh5wWEID*z6bdyGv8VzFSCT2glpd6/KAJALA.jpg)
KAJALA AJUTA KUPIGA MITUNGI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz60rxGXoADjuk-nV-bS55FMK4mGE5lBjzgyUGkxO4dqiam5GBBp0Ez-NyDRKt0AahHSlhO1LXj94uIZ29bBQo6eu/nora.jpg)
NORA AJUTA KUWAHI KUOLEWA