Israel itaharibu njia za chini kwa chini
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema kuwa Isareli haina budi ila kuharibu uwezo wa Hamas kivita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNCCR-MAGEUZI KWAFUKUTA CHINI KWA CHINI
NaChalila Kibuda,Globu ya Jamii CHAMA cha NCCR-MAGEUZI kimesema mkutano uliofanyika jana katika hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam na Makamu Mwenyekiti pamoja na Katibu Mkuu wa chama hicho hawajajua lengo lake kutokana na kutokwepo kwa baraka ya vikao kwa mujibu wa chama hicho.
Akizungumza leo na waandishi habari jana Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa Chama hicho, Mohamed Tibanyendela amesema kuwa mkutano huo hujafanyika kwa kufuata taratibu hivyo wanaamini kuwa walikuwa...
Akizungumza leo na waandishi habari jana Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini wa Chama hicho, Mohamed Tibanyendela amesema kuwa mkutano huo hujafanyika kwa kufuata taratibu hivyo wanaamini kuwa walikuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s640/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.
Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...
11 years ago
Bongo515 Jul
Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’
Hit maker wa Muziki Gani, Nay wa Mitego amefunguka kwa kudai kuwa amepandisha gharama za show zake mpaka milioni 5 kwa show za nje ya Dar Es Salaam. Nay wa Mitego akiwa nyumbani kwake na mtangazaji wa Star TV, Sauda Mwilima Akizungumza na bongo5 leo, Nay , amesema imembidi apandishe gharama za show zake kutokana […]
9 years ago
Bongo524 Oct
Hii ndio njia aliyotumia Khole Kardashian kumpiga chini boyfriend wake baada ya kurudiana na mumewe!
Baada ya mdogo wake Kim K, Khole Kardashian kurudisha uhusiano wake na mume wake Lamar Odom ambaye ni mgonjwa, Khloe alilazimika kumpiga chini aliyekuwa boyfriend wake mpya. Kupigwa chini na mpenzi inamua (kama umeshawahi kuwa kwenye nafasi hiyo utakuwa unafahamu), lakini kupigwa chini kwa style aliyotumia Khloe ndio inaweza kuwa inauma zaidi. Baada ya Star […]
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RmwuJxYx1js/VHhzXLt9EpI/AAAAAAAGz7w/Uq4VMLXYFi8/s72-c/dawasco-March6-2013.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-RmwuJxYx1js/VHhzXLt9EpI/AAAAAAAGz7w/Uq4VMLXYFi8/s1600/dawasco-March6-2013.jpg)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb4ynOHikFJcWWGeBfbITpcf1z071ekrzFb4jUhZq*k2wRQc6dioXKsBQHAtOztcePd50r8UHnOGMTxemphD10Xh/maumivu.jpg)
MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME-3
WIKI iliyopita niliishia kwenye maelezo kuwa secondary dysmenorhea huwakumba akina mama ambao tayari wameshajifungua mtoto mmoja au zaidi lakini wanapatwa na maumivu makali wakati wa hedhi jambo ambalo hawakuwa nalo siku za nyuma. Wiki hii namalizia kwa kusema kuwa hali hii huchangiwa na mambo mengi ikiwemo tatizo la kuwa na uvimbe kwenye mji wa mimba unaoitwa mayoma au fibroid, kuvimba kwa mji wa mimba pamoja na mirija ya...
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Kwa nini Katiba itayarishwe chini ya ulinzi?
KITU chochote kinachotayarishwa kwa manufaa ya jamii huku jamii husika ikiamini kwamba kitu hicho ni kwa manufaa yake, kawaida huwa hakitiliwi shaka, hakuna awezaye kuihofia jamii kuhusu matayarisho hayo, sababu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJCy1KQIYtBJ3qyHVyhjLrxjM0wIR7TJNv8wjSyb4-4775Q*SlSbYBszC31hklXVDF*xBERFsHq9Wl2FYLu70u1Y/UTI.jpg?width=650)
MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME
TATIZO hili huwakumba watu wengi kwenye jamii lakini kwa bahati mbaya wengi huchukulia ni jambo la kawaida kitu ambacho baadaye husababisha baadhi kuingia kwenye matatizo makubwa ya kiafya hasa kwenye mfumo wa uzazi na mfumo wa chakula. Maumivu chini ya kitovu hutokea kama ifuatavyo: Yapo yale ya chini ya kitovu katikati, kushoto na kulia. Kwa wanawake maumivu ya kushoto na kulia yapo ya aina mbili. Kuna yale ambayo yanakuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania