MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME-3
![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb4ynOHikFJcWWGeBfbITpcf1z071ekrzFb4jUhZq*k2wRQc6dioXKsBQHAtOztcePd50r8UHnOGMTxemphD10Xh/maumivu.jpg)
WIKI iliyopita niliishia kwenye maelezo kuwa secondary dysmenorhea huwakumba akina mama ambao tayari wameshajifungua mtoto mmoja au zaidi lakini wanapatwa na maumivu makali wakati wa hedhi jambo ambalo hawakuwa nalo siku za nyuma. Wiki hii namalizia kwa kusema kuwa hali hii huchangiwa na mambo mengi ikiwemo tatizo la kuwa na uvimbe kwenye mji wa mimba unaoitwa mayoma au fibroid, kuvimba kwa mji wa mimba pamoja na mirija ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJCy1KQIYtBJ3qyHVyhjLrxjM0wIR7TJNv8wjSyb4-4775Q*SlSbYBszC31hklXVDF*xBERFsHq9Wl2FYLu70u1Y/UTI.jpg?width=650)
MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2jthoah3l9cjzBkvD19Bme90TPsRHUQFaFf6Bcljw9p6gEarvl17wx6GQ9mMC3pqRmpOdht5RftU6CHeNsiwK*f/kaka.jpg?width=650)
MAUMIVU CHINI YA TUMBO
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto
Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YjEdYvzuap8*vAuR0*3oUeRtsAZjLKf6Q1Owab7uHYhmjQr*70p9RHiJloLus7PGYMebOXAMjDdZ5XZtqAIqHvR/human1.jpg?width=650)
KUONDOA KABISA KIZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO KWA WANAWAKE/WANAUME
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wanaume ni vizingiti kwa wanawake katika uzazi wa mpango
11 years ago
Mwananchi07 Feb
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Wanawake wanapolaumiwa kwa kuwatesa wanaume
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Wanawake Sudan: Wanasema sisi wanaume kwa kuwa tunacheza mpira