Wanawake Sudan: Wanasema sisi wanaume kwa kuwa tunacheza mpira
Wanawake nchini Sudan wamevunja 'mwiko' kwa kucheza kandada.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi30 Aug
Amina Karuma achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake nchini
![](http://tff.or.tz/images/Canada.png)
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto
Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....
10 years ago
CloudsFM05 Feb
KAJALA AWAFUNGUKIA WANASEMA KUWA ANAMHARIBU MWANAYE KITABIA
Staa wa Bongo Movie,Kajala Masanja amewatolea uvivu mashabiki wake waliomshambulia kuwa anamharibu mtoto wake aliyezaa na producer wa Bongo Records,P Funk,Paula kutokana na mavazi yasiyo na maadili anayoyavaa mbele ya mwanaye huo.
Mashabiki hao walimshambulia kupitia mtandao wa Instagram baada ya kupost picha akiwa amevaa nguo ambayo inaonyesha tumbo lake likiwa wazi ambapo mashabiki hao walidai kuwa anamfundisha nini mwanaye kutokana na mavazi hayo aliyoyavaa.
Baada ya kuona mashambulizi hayo...
11 years ago
GPLPROIN PROMOTIONS YATANGAZA RASMI KUDHAMINI LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb4ynOHikFJcWWGeBfbITpcf1z071ekrzFb4jUhZq*k2wRQc6dioXKsBQHAtOztcePd50r8UHnOGMTxemphD10Xh/maumivu.jpg)
MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME-3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YjEdYvzuap8*vAuR0*3oUeRtsAZjLKf6Q1Owab7uHYhmjQr*70p9RHiJloLus7PGYMebOXAMjDdZ5XZtqAIqHvR/human1.jpg?width=650)
KUONDOA KABISA KIZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJCy1KQIYtBJ3qyHVyhjLrxjM0wIR7TJNv8wjSyb4-4775Q*SlSbYBszC31hklXVDF*xBERFsHq9Wl2FYLu70u1Y/UTI.jpg?width=650)
MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME