Amina Karuma achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake nchini
Uchaguzi wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake nchini (TWFA) umemalizika ambapo Amina Karuma amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho, kufuatia uchaguzi uliofanyika leo jijini Dar es salaam.Nafasi ya katibu msaidizi imekwenda kwa mwandishi wa habari za michezo Someo Ng’itu, na nafasi ya wajumbe wa kamati ya utendaji ya TFWA imekwenda kwa Debora Mkemwa na Theresia Mng’ongo.Mgeni rasmi katika uchaguzo huo alikuwa ni katibu wa TFF, Mwesigwa Selestine ambapo na uchaguzi ulisimamiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8V541jyWAKM/VRBLF4dbLPI/AAAAAAAHMj8/AT4gZ9e7f6g/s72-c/unnamed%2B(73).jpg)
VIONGOZI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MANISPAA YA LINDI MJINI WAPEWA ELIMU YA CHF
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V541jyWAKM/VRBLF4dbLPI/AAAAAAAHMj8/AT4gZ9e7f6g/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/--x4Ruk7HvNc/VRcGaVvHqMI/AAAAAAAAEnc/JPIiQBut3bg/s1600/Zitto%2BKabwe-ACT%2BLeader3.jpg)
ZITTO KABWE ACHAGULIWA KUWA MKUU WA CHAMA CHA ACT TANZANIA
10 years ago
Michuzi27 Feb
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ch-zO2OkuRY/ViTFg9f_hBI/AAAAAAAIA3g/O6ZrvVhbcd8/s72-c/Pix%2B1.jpg)
MSHAURI WA CHAMA CHA DUNIA CHA MCHEZO WA MPIRA WA KIKAPU AKUTANA NA UONGOZI WA SEKTA YA MICHEZO NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ch-zO2OkuRY/ViTFg9f_hBI/AAAAAAAIA3g/O6ZrvVhbcd8/s640/Pix%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-adab5LNSVoU/ViTFhbXy71I/AAAAAAAIA3k/dzv6kV1NOes/s640/Pix%2B2.jpg)
11 years ago
GPLPROIN PROMOTIONS YATANGAZA RASMI KUDHAMINI LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE
11 years ago
Dewji Blog15 May
Proin Promotions yatangaza rasmi kudhamini Ligi ya mpira wa Miguu kwa Wanawake leo Jijini Dar
Katibu wa Michezo kutoka Kampuni ya Proin, Godlisten Anderson akitambulisha viongozi wa kampuni ya Proin Promotions kwa waandishi wa habari wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari uliofanyika leo katika Hoteli ya Southern Sun. Kampuni ya Proin imetangaza kudhamini ligi ya mpira wa miguu kwa Wanawake inayotarajiwa kuanza Mwezi wa Nane.
Rais TFF, Mh Jamal Malinzi na Mwenyekiti wa makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza wakitia saini katika mkataba wa makubaliano ya udhamini wa ligi ya mpira...
11 years ago
MichuziPROIN PROMOTIONS YATANGAZA RASMI KUDHAMINI LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE LEO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AREJEA NCHINI-ACHAGULIWA MWENYEKITI MPYA WA EAC