RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI-ACHAGULIWA MWENYEKITI MPYA WA EAC
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya akimkaribisha Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki , Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Rais kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea Nairobi Kenya ambapo alihudhuria mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi Jumuiya ya Afrika Mashariki.Kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo Dkt.Shukuru Kawambwa(picha na Freddy Maro)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Rais Kikwete aapishwa kuwa mwenyekiti EAC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLkF3MqZH7H3*vwPmbHjZW4gl7jjyPd7jfGKZEuivh8w0hzwt7FsEI6VmwoCikVwyP1JAlEKHBOUh2uJuoSgs0j/JK1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE ALGERIA, AREJEA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara rasmi ya kiserikali nchini Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 mara baada ya kurejea kutoka Australia kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lI9ZjQKjg-E/VCrKouiJ51I/AAAAAAADGYQ/OqbqG1Kk2Fs/s1600/jk1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QhSnef46DbM/VCrKowF3mqI/AAAAAAADGYY/IlIgYNndf4A/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s72-c/j1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA NCHINI RWANDA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s1600/j1.jpg)
Wakati akiwa Kigali, miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete ameudhuria mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi kujadili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWeTAEf8NCJfSwYfMdf5H1k1cb3bkCJRvdK2xyz0sidyWokEqqCeidjGd6LMiyLUwI7s4dORHH-vUnTCbZkqcaDx/jk3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI KUTOKA MAREKANI KWENYE MKUTANO WA 69 WA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
VijimamboKADAMA MALUNDE ACHAGULIWA MWENYEKITI MPYA WA WANAHABARI SHINYANGA
![Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/P1160791.jpg)
9 years ago
Michuzi30 Aug
Amina Karuma achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake nchini
![](http://tff.or.tz/images/Canada.png)
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI