Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Khloe Kardashian asema hakumpiga chini boyfriend wake James Harden, bado ni wapenzi

Baada ya Khloe Kardashian kukanusha kuwa hajarudiana na Lamar Odom licha ya kusitisha kesi ya kudai talaka, mdogo huyo wa Kim K amesema kuwa hajaachana na boyfriend wake ambaye ni mchezaji wa NBA, James Hardens kama ilivyoripotiwa. Akizungumza kwenye mahojiano na jarida la PEOPLE, alifafanua kwa kusema amekuwa muelewa sana katika kipindi hiki anachomuuguza mumewe […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Khloe Kardashian ammwaga James Harden

Kourtney Kardashian and Khloe Kardashian show Mason around a new schoolNEW YORK, MAREKANI

MWANAMITINDO Khloe Kardashian, ameweka wazi kuachana na mpenzi wake, James Harden ambaye ni nyota wa kikapu wa timu ya Houston Rockets ambayo inashiriki Ligi Kuu ya NBA nchini Marekani.

Uhusiano wa wawili hao ulianza kuvunjika Novemba 8, baada ya hapo hadi sasa hawajaonekana pamoja.

Hata hivyo, Khloe ameweka wazi kwamba ataendelea kumuheshimu na kutoka naye kama rafiki wa kawaida.

“Kumekuwa na mambo mengi ambayo yalikuwa yanatokea kwenye uhusiano wetu, ila kwa sasa...

 

10 years ago

Bongo5

Hii ndio njia aliyotumia Khole Kardashian kumpiga chini boyfriend wake baada ya kurudiana na mumewe!

Baada ya mdogo wake Kim K, Khole Kardashian kurudisha uhusiano wake na mume wake Lamar Odom ambaye ni mgonjwa, Khloe alilazimika kumpiga chini aliyekuwa boyfriend wake mpya. Kupigwa chini na mpenzi inamua (kama umeshawahi kuwa kwenye nafasi hiyo utakuwa unafahamu), lakini kupigwa chini kwa style aliyotumia Khloe ndio inaweza kuwa inauma zaidi. Baada ya Star […]

 

11 years ago

Bongo5

French Montana asema hayuko na Khloe Kardashian kwasababu ya umaarufu wake, adai alitafsiriwa vibaya

Rapper wa ‘Don’t Panic’, French Montana amelazimika kutoa ufafanuzi wa kauli yake aliyoitoa kwenye mahojiano na jarida la Billboard kuwa anatumia umaarufu wa mpenzi wake Khloe Kardashian kwa faida. Huenda wakati anatoa kauli hiyo alikuwa anamaana tofauti na ilivyotafsiriwa na watu mbalimbali waliomshambulia kwa kumtumia Khloe. Montana ameiambia Access Hollywood Live kuwa comment yake ilitafsiriwa […]

 

11 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian alimpiga chini French Montana baada ya kugundua anammendea rafiki yake

Khloe Kardashian anadaiwa kuwa aliamua kumpiga chini mpenzi wake French Montana mapema mwezi huu baada ya kugundua kuwa alikuwa akimmendea rafiki yake.. Khloe na Malika Kwa mujibu wa mtandao wa Media Take Out, Khloe aligundua kuwa mpenzi wake alikuwa akitumiana ujumbe wa simu kwa siri na rafiki yake Malika Haqq. French Montana na Malika (kulia) […]

 

10 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian asema atadai tena talaka kama Lamar Odom atarudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Shemeji wa Kanye West, Khloe Kardashian amekuwa bega kwa bega na mumewe Lamar Odom toka alipolazwa hospitali mara ya kwanza baada ya kukutwa hajitambui kutokana na kuzidisha dawa za kulevya huko Las Vegas. Hali ya Lamar ilimfanya Khloe kuamua kuachana na aliyekuwa boyfriend wake James Harded, na kufuta kesi ya kudai talaka na kuipa ndoa […]

 

11 years ago

Bongo5

‘Iggy Azalea aliumizwa na maneno ya Nicki Minaj kwenye tuzo za BET’ asema boyfriend wake

Pamoja na rapper mwenye asili ya Australia, Iggy Azalea kudai kuwa hakusumbuliwa na maneno ya Nicki Minaj kwenye tuzo za BET mwishoni mwa mwezi uliopita, mpenzi wake Nick Young anayecheza kikapu na timu ya Los Angeles Lakers, ameliambia New York Daily News kuwa kauli ya Nicki na maneno ya watu mtandaoni, vilimuumiza ‘demu’ wake huyo. […]

 

9 years ago

GPL

LAMAR AMTIMUA KHLOE KARDASHIAN HOSPITALI

Staa wa kikapu Lamar Odom. WAKATI ikielezwa kuwa Khloe Kardashian amekuwa karibu na staa wa kikapu Lamar Odom ambaye amelazwa, habari ni kuwa Odom amemtimua mrembo huyo ambaye ni mke wake kutoka hospitali kutokana na kutumia ugonjwa wake kujipatia umaarufu.  Khloe Kardashian. Taarifa zinaeleza kuwa mara baada ya Lamar kupata nafuu na kujitambua, alipata malalamiko ya kuwa Khloe anatumia hali ya… ...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Tristan Thompson Is Using Quarantine With Khloe Kardashian to Fight for Her

Tristan Thompson Is Using Quarantine With Khloe Kardashian to Fight for Her  Showbiz Cheat SheetKhloé Kardashian Isn't Thinking About Dating Anyone Right Now  Cosmopolitan.comKris Jenner Urges Khloé Kardashian to Freeze Her Eggs | KUWTK | E!  Keeping Up With The KardashiansKhloe Kardashian’s Daughter True Shows Off Her Natural Afro While Playing With Dolls — Watch  HollywoodLifeKhloe Kardashian had the best response to questions about why she's single  cosmopolitan.comView Full coverage on...

 

10 years ago

Bongo5

Mimi na Lamar Odom hatujarudiana! — Khloe Kardashian

Khloe Kardashian ameibuka na kuweka mambo sawa kuhusu uhusiano wake na Lamar Odom licha ya ripoti kuwa wawili hao wameamua kuipa ndoa yao nafasi nyingine. Akizungumza kwenye mahojiano na jarida la People, Khloe amesema kuwa licha ya kufuta kesi ya kudai talaka kwa mume wake Lamar Odom ambaye ni mgonjwa, lakini haimaanishi kuwa wamerudiana. “Taarifa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani