Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Khloe Kardashian ammwaga James Harden

Kourtney Kardashian and Khloe Kardashian show Mason around a new schoolNEW YORK, MAREKANI

MWANAMITINDO Khloe Kardashian, ameweka wazi kuachana na mpenzi wake, James Harden ambaye ni nyota wa kikapu wa timu ya Houston Rockets ambayo inashiriki Ligi Kuu ya NBA nchini Marekani.

Uhusiano wa wawili hao ulianza kuvunjika Novemba 8, baada ya hapo hadi sasa hawajaonekana pamoja.

Hata hivyo, Khloe ameweka wazi kwamba ataendelea kumuheshimu na kutoka naye kama rafiki wa kawaida.

“Kumekuwa na mambo mengi ambayo yalikuwa yanatokea kwenye uhusiano wetu, ila kwa sasa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian asema hakumpiga chini boyfriend wake James Harden, bado ni wapenzi

Baada ya Khloe Kardashian kukanusha kuwa hajarudiana na Lamar Odom licha ya kusitisha kesi ya kudai talaka, mdogo huyo wa Kim K amesema kuwa hajaachana na boyfriend wake ambaye ni mchezaji wa NBA, James Hardens kama ilivyoripotiwa. Akizungumza kwenye mahojiano na jarida la PEOPLE, alifafanua kwa kusema amekuwa muelewa sana katika kipindi hiki anachomuuguza mumewe […]

 

9 years ago

GPL

LAMAR AMTIMUA KHLOE KARDASHIAN HOSPITALI

Staa wa kikapu Lamar Odom. WAKATI ikielezwa kuwa Khloe Kardashian amekuwa karibu na staa wa kikapu Lamar Odom ambaye amelazwa, habari ni kuwa Odom amemtimua mrembo huyo ambaye ni mke wake kutoka hospitali kutokana na kutumia ugonjwa wake kujipatia umaarufu.  Khloe Kardashian. Taarifa zinaeleza kuwa mara baada ya Lamar kupata nafuu na kujitambua, alipata malalamiko ya kuwa Khloe anatumia hali ya… ...

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Lamar Odom hatujarudiana! — Khloe Kardashian

Khloe Kardashian ameibuka na kuweka mambo sawa kuhusu uhusiano wake na Lamar Odom licha ya ripoti kuwa wawili hao wameamua kuipa ndoa yao nafasi nyingine. Akizungumza kwenye mahojiano na jarida la People, Khloe amesema kuwa licha ya kufuta kesi ya kudai talaka kwa mume wake Lamar Odom ambaye ni mgonjwa, lakini haimaanishi kuwa wamerudiana. “Taarifa […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Tristan Thompson Is Using Quarantine With Khloe Kardashian to Fight for Her

Tristan Thompson Is Using Quarantine With Khloe Kardashian to Fight for Her  Showbiz Cheat SheetKhloé Kardashian Isn't Thinking About Dating Anyone Right Now  Cosmopolitan.comKris Jenner Urges Khloé Kardashian to Freeze Her Eggs | KUWTK | E!  Keeping Up With The KardashiansKhloe Kardashian’s Daughter True Shows Off Her Natural Afro While Playing With Dolls — Watch  HollywoodLifeKhloe Kardashian had the best response to questions about why she's single  cosmopolitan.comView Full coverage on...

 

9 years ago

GPL

WATOTO WA LAMAR ODOM WAMLIPA FADHILA KHLOE KARDASHIAN

 Staa wa mpira wa kikapu, Lamar Odom. Las Vegas, Marekani
WATOTO wa staa wa mpira wa kikapu,Lamar Odom, 35, Lamar Jr na Destiny hivi karibuni wamelipa fadhila kwa kumshukuru mama yao wa kufikia,Khloe Kardashian kwa mapenzi ya dhati aliyoyaonesha kwa baba yao tangu alipozidiwa Oktoba 13, mwaka huu. Akichonga na mtandao maarufu wa burudani nchini Marekani mtu wa karibu kutoka ndani ya familia hiyo alisema watoto hao wamefikia...

 

9 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian amfanyia birthday party mumewe Lamar Odom hospitali alipolazwa

lamar-odom-and-khloe-kardashian

Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani, Lamar Odom Ijumaa ya Nov 6 alisheherekea birthday yake ya 36 akiwa hospitali alikolazwa, Cedars-Sinai Medical Center iliyoko Los Angeles.

lamar-odom-and-khloe-kardashian

Chanzo kimoja kimeliambia jarida la PEOPLE kuwa mke wa mchezaji huyo wa zamani, Khloe Kardashian alimuandalia sherehe ndogo iliyohudhuriwa na ndugu wa Khloe akiwemo mama yake Kriss Jenner, dada zake Kourtney, Kendall, Kim Kardashian, Kylie na boyfriend wake Tyga pamoja na Kanye West...

 

10 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian alimpiga chini French Montana baada ya kugundua anammendea rafiki yake

Khloe Kardashian anadaiwa kuwa aliamua kumpiga chini mpenzi wake French Montana mapema mwezi huu baada ya kugundua kuwa alikuwa akimmendea rafiki yake.. Khloe na Malika Kwa mujibu wa mtandao wa Media Take Out, Khloe aligundua kuwa mpenzi wake alikuwa akitumiana ujumbe wa simu kwa siri na rafiki yake Malika Haqq. French Montana na Malika (kulia) […]

 

9 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian azungumza kwa mara ya kwanza toka Lamar Odom apate matatizo

Mdogo wake Kim Kardashian, Khloe amevunja ukimya na kuzungumza kwa mara ya kwanza toka aliyekuwa mume wake, mcheza kikapu wa Marekani Lamar Odom kupata matatizo ya afya baada ya kudaiwa kutumia kiasi kikubwa cha Cocaine. Khloe ambaye amekuwa hospitali akimuangalia Lamar muda mwingi toka alipolazwa, ametumia website yake kuwashukuru mashabiki, marafiki na familia kwa support […]

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

'KUWTK': Khloe Kardashian Dares Kris Jenner to Chat Up Strangers and She Hilariously Accepts the Challenge

'KUWTK': Khloe Kardashian Dares Kris Jenner to Chat Up Strangers and She Hilariously Accepts the Challenge  Showbiz Cheat SheetThe Kardashian-Jenner Kids Are Bringing the Instagram Content You Need Right Now  HarpersBAZAAR.comThe Kardashians Make Some Unlikely Friends While Wine-Tasting  E! OnlineKim Kardashian West Posts A Surprising Message for Tristan Thompson's Birthday  Showbiz Cheat SheetEvery Secret Revealed in KUWTK Season 18 Trailers | Screen Rant  Screen RantView Full coverage on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani