Khloe Kardashian amfanyia birthday party mumewe Lamar Odom hospitali alipolazwa
Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani, Lamar Odom Ijumaa ya Nov 6 alisheherekea birthday yake ya 36 akiwa hospitali alikolazwa, Cedars-Sinai Medical Center iliyoko Los Angeles.
Chanzo kimoja kimeliambia jarida la PEOPLE kuwa mke wa mchezaji huyo wa zamani, Khloe Kardashian alimuandalia sherehe ndogo iliyohudhuriwa na ndugu wa Khloe akiwemo mama yake Kriss Jenner, dada zake Kourtney, Kendall, Kim Kardashian, Kylie na boyfriend wake Tyga pamoja na Kanye West...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Oct
Mimi na Lamar Odom hatujarudiana! — Khloe Kardashian
10 years ago
GPL
WATOTO WA LAMAR ODOM WAMLIPA FADHILA KHLOE KARDASHIAN
10 years ago
Bongo521 Oct
Khloe Kardashian azungumza kwa mara ya kwanza toka Lamar Odom apate matatizo
10 years ago
Bongo522 Oct
Khloe Kardashian na Lamar Odom wafuta kesi yao ya talaka ili kuipa ndoa nafasi ya pili
10 years ago
Bongo528 Oct
Khloe Kardashian asema atadai tena talaka kama Lamar Odom atarudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
9 years ago
GPL
LAMAR AMTIMUA KHLOE KARDASHIAN HOSPITALI
10 years ago
GPL
KHLOE ATAKA MTOTO NA LAMAR ODOM
10 years ago
Bongo528 Oct
Rob Kardashian ajitolea kumchangia figo Lamar Odom
10 years ago
Bongo520 Oct
Lamar Odom atolewa kwenye hospitali ya Las Vegas, apelekwa Los Angeles