Khloe Kardashian na Lamar Odom wafuta kesi yao ya talaka ili kuipa ndoa nafasi ya pili
Kufuatia kuugua kwa mcheza kikapu wa NBA Lamar Odom, hali hiyo imewaunganisha tena na mke wake Khloe Kardashian ambapo sasa couple hiyo kwa pamoja imeamua kufuta kesi yao ya talaka ili waendelee kuwa mume na mke. Kwa mujibu wa TMZ, mwanasheria wa Khloe aitwaye Laura Wasser Jumatano Oct 20 alienda kwa hakimu kuomba kusitisha kesi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Khloe Kardashian asema atadai tena talaka kama Lamar Odom atarudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
9 years ago
Bongo528 Oct
Mimi na Lamar Odom hatujarudiana! — Khloe Kardashian
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL5Ekr-tOHgPN5RgT9t*SNsStPYcfwJvQUPYRWpzd7*ShPwxN8nUgz5vJ3gPVGelACHq3a6USns*fPLBWxgwoB3J/1445887802_lamarodomarticle.jpg?width=650)
WATOTO WA LAMAR ODOM WAMLIPA FADHILA KHLOE KARDASHIAN
9 years ago
Bongo507 Nov
Khloe Kardashian amfanyia birthday party mumewe Lamar Odom hospitali alipolazwa
![lamar-odom-and-khloe-kardashian](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/lamar-odom-and-khloe-kardashian-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani, Lamar Odom Ijumaa ya Nov 6 alisheherekea birthday yake ya 36 akiwa hospitali alikolazwa, Cedars-Sinai Medical Center iliyoko Los Angeles.
Chanzo kimoja kimeliambia jarida la PEOPLE kuwa mke wa mchezaji huyo wa zamani, Khloe Kardashian alimuandalia sherehe ndogo iliyohudhuriwa na ndugu wa Khloe akiwemo mama yake Kriss Jenner, dada zake Kourtney, Kendall, Kim Kardashian, Kylie na boyfriend wake Tyga pamoja na Kanye West...
9 years ago
Bongo521 Oct
Khloe Kardashian azungumza kwa mara ya kwanza toka Lamar Odom apate matatizo
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNWuuzygKwJeFDIMEHKgY8eSW9YX5qm2AqOyzQkqNPlNqKFIqUPDOsVThg7dXhIa8P2AqL6ol3cPc8nyHgzTLIft/1445477596_lamarodomkhloekardashianzoom.jpg?width=650)
KHLOE ATAKA MTOTO NA LAMAR ODOM
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-faBTO6QuQLLUqSS6l5ncD9*ef5FzsRv5TXsrINa1v5xx4F5pZQw576V-iMufu-nxcd06wINnuv3FWUe8v3a1qs/1389641920_lamarodomzoom.jpg?width=650)
LAMAR AMTIMUA KHLOE KARDASHIAN HOSPITALI
9 years ago
Bongo528 Oct
Rob Kardashian ajitolea kumchangia figo Lamar Odom
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Kikwete amezitaka nchi za Afrika kuipa nguvu Mahakama ya Afrika ili iweze kusikiliza kesi za jinai
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wafanyakazi na viongozi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu mjini Arusha.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani wakizindua kitabu cha taarifa za msingi kuhusu mahakama hiyo kwenye Ukumbi wa Kibo kwenye majengo ya Mahakama hiyo mjini Arusha.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na viongozi na wafanyakazi wa mahakama hiyo.
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
Rais Jakaya Kikwete...