Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washushuliwa kumuondoa DED bila utaratibu

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera amesema Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara halina mamlaka ya kumkataa na kumwondoa madarakani Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Grace Mbaruku kwa kuwa kanuni na sheria haziwapi fursa ya kufanya hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele

Kuanzia Mei 30, mwaka huu, taifa limeshuhudia kuanza rasmi kwa zoezi la kutangazania na kuchukua fomu kwa wanaokusudia kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza katika Kikoa cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa, wakati alipofika Wilayani humo kwa ziara ya kikazi. Simbachawene amepiga marufuku ukamataji wa wananchi, bodaboda pamoja na kufanya operesheni ya aina yoyote kwa kukurupuka bila kufuata utaratibu, hali inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani badala ya kujenga amani.. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wahojiwa kumuondoa mwenyekiti

KAMATI ya Usalama na Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Tanga, imewahoji madiwani 22 wa Halmashauri ya Korogwe Vijijini akiwemo mbunge wa jimbo hilo, Stephen Ngonyani kuhusu kumuondoa madarakani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi

LEO tutaangalia wajibu wa wasimamizi wa mirathi. Nitazungumzia juu ya usimamizi wa mirathi  pamoja na mambo muhimu  juu ya wanaonufaika na mirathi. Katika Mahakama za Mwanzo pamoja na  zile mahakama ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi — 2

KWA wasomaji wapya,  wiki iliyopita nilizungumzia usimamizi wa mirathi  pamoja na wanaonufaika na mirathi. Sheria ya usimamizi wa mirathi sura ya 352 ya sheria za Tanzania, ndiyo nitakayoirejea katika kuzungumzia...

 

10 years ago

GPL

Kiongera arejeshwa, kumuondoa Mganda mmoja Simba SC

Mshambuliaji wa Simba,Paul Kiongera. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas Dar es Salaam
TIMU ya Simba imepanga kumrejesha kiungo mshambuliaji Paul Kiongera katika usajili mkubwa wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho.Wakati mipango ikiwa hivyo, kiungo huyo ametoa kauli kuwa anakuja akiwa fiti, hiyo ikimaanisha kuwa ushindani wa namba kwenye idara ya ushambuliaji utakuwa mkali kati yake na Elias...

 

10 years ago

Vijimambo

SHOGA: MFANYIE MASAJI MUMEO KUMUONDOA UCHOVU!

Shoga, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu anayetupenda licha ya sisi kutompendeza kutokana na mambo tunayoyafanya kwa makusudi na kutokukusudia, naamini u bukheri wa afya.Kwa upande wangu naendelea vizuri na kazi na familia yangu haina tatizo isipokuwa nasikitishwa na ajali zinazotokea mara kwa mara katika nchi yetu na kuua watu wengi kwa sababu ya uzembe wa madereva.

Shoga, baada ya kusema hayo ngoja nirejee kwenye mada yangu ya leo inayohusiana na kuwafanyia masaji waume zetu kwa lengo la...

 

9 years ago

GPL

UKWEPAJI KODI KUMUONDOA MESSI BARCELONA AU KUMPELEKA JELA

Lionel Messi Messi na baba yake Jorge. STAA wa soka duniani ambaye anayeichezea timu ya mabingwa wa La Liga 2014/2015, Barcelona, Lionel Messi anatarajiwa kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma za ukwepaji wa kodi nchini humo. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Mapato Hispania, ilisema kuwa kama hatalipa kodi hiyo mapema iwezekananvyo, atapandishwa kizimbani au… ...

 

10 years ago

Michuzi

JE HAURIDHISHWI NA MSIMAMIZI WENU WA MIRATHI, HII NI NJIA YA KUMUONDOA.

Na Bashir YakubWapo  watu ambao  baada  ya  kupata  cheo au  nafasi  ya  kuwa wasimamizi wa mirathi  hugeuka  waungu.  Huwa hawaambiwi  wala  hawasikii  la  mtu. Huwezi kuamini  kuwa  kuna baadhi ya wasimamizi wa  mirathi  wamekataa  kugawa  mali  za marehemu  sasa ni zaidi ya miaka   kumi. Na si kwamba wamefanya  hivyo  kwa maslahi mapana  ya familia, hapana. Wamefanya  hivyo kwa ukorofi  lakini kubwa zaidi  wanafanya  hivyo  ili waendelee  kunufaika na  mali za marehemu  peke  yao. Mambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani